Makamanda wajifunze kitu? Hiyo ni ndoto ya mchana. Makamanda, hasa wafuasi wa mr #dishlimetilt, hawawezi kujifunza kitu maana wanaamini wanajua kila kitu!
Makamanda wajifunze kitu? Hiyo ni ndoto ya mchana. Makamanda, hasa wafuasi wa mr #dishlimetilt, hawawezi kujifunza kitu maana wanaamini wanajua kila kitu!
Makamanda wajifunze kitu? Hiyo ni ndoto ya mchana. Makamanda, hasa wafuasi wa mr #dishlimetilt, hawawezi kujifunza kitu maana wanaamini wanajua kila kitu!
Wewe kiazi ikiwa tu akina mama wa Bawacha wakifanya jogging wanapelekewa defender 10 na Askari wenye silaha nzito za kivita sembuse kufanya vurugu. Najua mnachochea hivyo ili kukidhi kiu ya watawala ya kuifuta Chadema kuwa ni chama cha vurugu. Hatuingi hii mitego yenu ya kindezi.
Bila kuwa kemea watawala hawa katika yasiyo haki na usawa watadhani ni halali yao.
Shime waungwana:
1. mshahara na marupurupu yao si halali.
2. Gharama wanazotumia katika anasa zao kutokea katika jasho letu si halali.
3. Madege wanayonunua kwa cash, hiyo pesa isingeweza kutumika vyema zaidi kupunguza matatizo kama haya?
4. Vipi haya wanayosema kila siku ni siri za serikali?
5. Kwanini kusiwe na muda anaoruhusiwa mtu kuwa katika ajira ya serikali au umma?
Wewe kiazi ikiwa tu akina mama wa Bawacha wakifanya jogging wanapelekewa defender 10 na Askari wenye silaha nzito za kivita sembuse kufanya vurugu. Najua mnachochea hivyo ili kukidhi kiu ya watawala ya kuifuta Chadema kuwa ni chama cha vurugu. Hatuingi hii mitego yenu ya kindezi.