Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

Mtoto wa Nyerere

Senior Member
Joined
May 21, 2021
Posts
129
Reaction score
689
Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi?

Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana?

Mpaka wakae kila Kona ya mtaa. Ebu tuache ushamba basi

Nashauri Machinga wathibitiwe Kama wanagoma vibanda vyao vyote vichomwe hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiolipa Kodi, kufuata Sheria na katiba ya Nchi .

Mbaya zaidi kupoka haki za wengine hii haikubaliki hata kidogo lazima tuwe taifa la mfano.

Na mikoa yote ondoeni Machinga wenye mitaji mikubwa wakapange fremu wauze online bidaa zao wafanye derivali.

Wenye mitaji midogo watengewe viwanja vikubwa viwe Kama minada wafanye uko mbona kila mkoa unayo maeneo?

Makala nakushauri vunja kabisa kila kitu maana wabongo Ni wabishi Sana bila kuwavunjia hawataondoka kwa heri.

Tujenge Nchi tuache kufanya kila kitu siasa. Siasa ndio imetufikisha hapa tulipo.
 
Hayo ni maisha ya watu na ni wapi huko frem hazina watu kama kkoo mbona frem zimejaa tatizo mnataka watu wahangaike wakati wamejiajiri kutafuta riziki.Kama serikali ingekua imewekeza kwenywe viwanda na kilimo vijana wengi wangekua wako kwenye ajira.Hili ni bomu kubwa sana linaandaliwa
 
Hayo ni maisha ya watu na ni wapi huko frem hazina watu kama kkoo mbona frem zimejaa tatizo mnataka watu wahangaike wakati wamejiajiri kutafuta riziki.Kama serikali ingekua imewekeza kwenywe viwanda na kilimo vijana wengi wangekua wako kwenye ajira.Hili ni bomu kubwa sana linaandaliwa

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Thanks ok,hata Mimi nimejiajiri na nalipaga Kodi na mtaji wangu Ni kama milion 5 tu na Nina fremu

Hapo Kuna Machinga kasema mtaji wake Ni milioni 15 lakini Cha kishangaza ameanika vitu vyake nje.

Huu Ni upumbavu kuwa na mfanyabiashara mwenye mtaji mkubwa vile na alipi Kodi.
 
Nashauri machinga wapelekwe mageteza ya kilimo kama like alilofungwa bwaba Deo Kisandu na watakaobaki wapigwe risasi kama zile alizopigwa Lissu
 
Thanks ok,hata Mimi nimejiajiri na nalipaga Kodi na mtaji wangu Ni kama milion 5 tu na Nina fremu

Hapo Kuna Machinga kasema mtaji wake Ni milioni 15 lakini Cha kishangaza ameanika vitu vyake nje.

Huu Ni upumbavu kuwa na mfanyabiashara mwenye mtaji mkubwa vile na alipi Kodi.
Wachache sana wenye mitaji hiyo mkuu wengi tunaona wanabangaiza tu tena juani kwa shida mm naona serikali iwekeze sana kwenye kilimo kiwe na tija uone km vijana watakia wanajianika juani kama hivi ila kwa kiwavunjia na kupola mali zao kwa hali ilivo ngumu na colona ilivo shusha uchumi ni lazima tu wananchi wajenge chuki na serikali
 
Hayo ni maisha ya watu na ni wapi huko frem hazina watu kama kkoo mbona frem zimejaa tatizo mnataka watu wahangaike wakati wamejiajiri kutafuta riziki.Kama serikali ingekua imewekeza kwenywe viwanda na kilimo vijana wengi wangekua wako kwenye ajira.Hili ni bomu kubwa sana linaandaliwa

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Bomu limeandaliwa na CCM na litenguliwe na CCM.
 
Huna njaa! Huna shida wewe. Ukijaribu kuchangia jaribu kujiweka kwenye nafasi za hao majamaa.

Mji unaonekana mchafu kutokana na wamachinga kuingia adi barabarani. Inakuwa ngumu kama mnapishana na magari mzehe. Kwangu mimi ingependeza wakatafutiwa uwanja. Nchi zilizoendelea uwezi kuta haya.
 
Back
Top Bottom