Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Kumbe wamegeuza maneno kuficha aibu! Hata mimi kidogo nilishangaa eti mtu umpige machinga halafu ubaki salama kwa jinsi machinga walivyo na umoja kama waendesha bodaboda!walipigwa waO..
yapuuze maelezo yao
wameyapindisha..[emoji2]
siunajua ili uzungumziwe humu JF lazima uhusishe kitu kitakachogusa hisia za watu!Kumbe wamegeuza maneno kuficha aibu! Hata mimi kidogo nilishangaa eti mtu umpige machinga halafu ubaki salama kwa jinsi machinga walivyo na umoja kama waendesha bodaboda!
Kajaribu na pale congo mkuu iyo labda ilikuwa ni chanika uliwakuta mahali wawili au watatuKuna mmoja pale Msimbazi nilijichanganya nikakanyaga mashuka yake akaanza kumaindi,wee wee alijuta siku ile kufungua biashara yake maana nilipiga wakajifanya kutaka kumsaidi nikawaingiza kwenye vipigo wote,basi watu wenye maduka wakawa wanasema safi sana maana wamezidi viherehere kisa wameruhusiwa na Magu.
Hii ni fursa. Kama unaweza kaa mwenyewe kama unashindwa tafuta kijana, fanya biashara. Mwezi huo unaukuja jipange na penseli, vitabu, madaftari, uniforms and the like.
Kwani yy kasema mtafanyia vichakani?Wengine hatufanyi show za nje only ndani,
Ukiwa mkubwa utaelewa nna maanisha nn,sasa hivi kakojoe ukalaleKwani yy kasema mtafanyia vichakani?
Labda sio machinga wa msimbaziFix za mchana mchana. Kwa hiyo ukawapiga eeeh! We kweli noma
Nilikuwa nimeeshatoka kuamka......nirudi tena ndo utaamini kuwa vichakani sio ndani??Ukiwa mkubwa utaelewa nna maanisha nn,sasa hivi kakojoe ukalale
carefulMbona gogoni hawaendiiii...pumbav zao
Duuhhawa jamaa naamini kabisa kilio chao kinakuja soon watajuta na hawataamini kilichotokea..