Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Stop it please, sina mbavu huku!
Yani unavo hadithia naona kama nilikuwepo na najiskia vibaya kuliko hata wewe. hahahahaha
Dada alikua ofisini hapo, kikazi zaidi. lol
Hahahaha!unafikiri ungekuwepo ungecheka,ungetaman ufike unakoshuka ucendelee kuckia aisee!yani watu tukajidai kuangalia nje nakupotezea but wala haikusaidia!alipomaliza zake wala hakua na habari na pamoja na wengine kusonya,kumwangalia vibaya wala hakujali mtu!