KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Tsichokijua ni kwamba wabongo wanapenda sana matukio no matter ni tukio gani as long as halina kiingilio
Wabongo hata wakiskia mlipuko wa bom huwa wanaufata huko huko wakashuhudie
Kingine usichokijua sisi ni wanafki na hili lipo wazi just imagine yule masanja ambaye alimdhihaki lowasa kwa ku act kama kajinyea leo hii anajiita PASTOR na kuwakemea watu wanao onyesha chuki juu ya marehemu
Ukiwauliza mwenye Msimbazi mfukoni hapo huenda maafisa tu wa Serikali ndio watakuwa nayo
Yani kwako ww,kila mtu ni system..😂😂😂Hivi hawa unafikiri ni boda boda wa kawaida !.
🤣Yani kwako ww,kila mtu ni system..😂😂😂
Bado hawatakosa chakuongea.Enzi za kampeni ungesikia ...
"watu wamelipwa pesa na wengine wamebebwa na malori kuja kumsikiliza"
Huyu mtu alipendwa na wengi sana sana sana
Nyomi kubwa sana nimejaribu ku zoom hapo sijaona aliyevaa barakoa zaidi ya tozi kushoto aliyejifunga leso
Watu lazima wajae huyo ni mtu maarufu tofauti nikifa mimi hata humu hamtajuaMimi nilijua watu watakua wengi Ila sikujua mama watakua hivi.
Angalia hii video watu walivyo wengi, nimeshangazwa.
Nyani Ngabu
View attachment 1731019
Unauliza swali,majibu yake unayajua. Walihamasishwa na nani? Wewe mwenyewe unajua. Hata kwa ule kuhamasishwa kidogo tu,waache wawe huru. Wasije wale wengine eti watafanya usafi barabarani siku hiyo,wengine wakatangaza kabisa atakaejaribu hata kunusa barabarani,atapigwa atachakaa. Ndio huko unaita kuhamasishwa?Hahahaaa, watanzania hao hao walihamasishwa kuandamana wala hawakuandamana! Unasemaje kuhusu hilo?
Huu si uchaguzi.Wakati wa uchaguzi nyomi ziliashiria ushindi,
Je nyomi za sasa faida yake ni ipi,?
Ujinga nao mzigo
Shida ya Afrika hamuelewi demokrasia.... Mnadhani siasa ni vita. Kwani Diamond akigombea Urais mtampa Kura? Ila akifariki hawatojaa watu?kwanini ulilia bro si ungeagiza bia unywe???
mbona unaonekana una roho ngumu tofauti na matendo yako???
wanaosemaga kwenye kampeni watu walijaa kuhakiki muujiza wa Mungu ndio hao hao leo wanasema watu wamejaa msibani kuhakiki muujiza wa Mungu.ajabu wanalia na kuzimia.
Mkuu, Saa hizi tunatakiwa kuomboleza kwa dhati. Alipendwa au hakupendwa kwa sasa haina tija. Ila nadhani mwenye macho haambiwi ona.Hiyo ya Fatma hata mimi nimeona!
Desperate menopausal little bitch.
Mimi mwenyewe sina itikadi ya chama. Na Watanzania nawafahamu pia. Kuhamasishwa ninakokuzunguzia,ni kila chombo cha habari kiwe huru kutangaza hilo tukio,kana ilivyo hili,na wananchi wajue kabisa halitaingiliwa na vyombo vya dola,wajue hilo tukio lina baraka zote za serikaliMbona akija mbeligiji hawajai ebu acha mambo ya ajabu mimi sina ushabiki wa vyama lakini ukweli ni kwamba MAGUFULI alipendwa zaidi ya CCM na CHADEMA
huu unafki umezoeleka sana labda kama uwe mgeni na waafrika ndo unaweza ukaona hiyo ni icon ya love