KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Tukana tu waTanzania wote,maana mmeamua mwka huu
Tsichokijua ni kwamba wabongo wanapenda sana matukio no matter ni tukio gani as long as halina kiingilio
Wabongo hata wakiskia mlipuko wa bom huwa wanaufata huko huko wakashuhudie
Kingine usichokijua sisi ni wanafki na hili lipo wazi just imagine yule masanja ambaye alimdhihaki lowasa kwa ku act kama kajinyea leo hii anajiita PASTOR na kuwakemea watu wanao onyesha chuki juu ya marehemu