Macho yangu yananidanganya?

Macho yangu yananidanganya?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyie ndo mnatufanya tuonekane tunafurahia msiba.

Ila pole sana ndugu yangu, huo ukurasa umeshafungwa ,tunaingia ukurasa SSH.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, Pareto principle inahusika. 80% ya kelele na fujo zinasababishwa na 20% ya watu. The minority tends to be the loudest!

Ukweli ni kwamba watu (especially the ordinary Joes and Janes) wenye mapenzi ya dhati na JPM ni countless. Wale wachache waliokuwa wakifaidi zaidi cake ya taifa kabla ya disruption ya JPM ndiyo waliomchukia with passion!
 
Magu anapendwa sana. Kuna tatizo moja kubwa sana la propaganda chafu ambazo zjnaendeshwa na kambi pinzani hasa kupitia mitandao ya kijamii. Lakini uhalisia kwa wananchi ni tofauti kabisa.

Tangu amefariki kambi pinzani wamefanya hate campaign kwa kasi kubwa zaidi. Na hata kudanganya dunia kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi mkuu. Angalia mtu kama Fatma Karume anachukua picha ya msafara sehemu ambayo hakuna makazi ya watu na kuzirusha eti watu wachache! na kuficha sehemu kubwa ambako kuna umati wa watu!

Yaani wanachuki iliyopitiliza na isiyo na sababu, kisha eti wanasema eti marehemu ndiyo alikuwa na chuki

Opposition for the sake of opposition. Ni aina ya upinzani usiokuwa na hata chembe ya tija!
 
Yaani wanaishia kuangalia tu kwenye miji tu ambako mnaona boda boda, mama ntilie na wamachinga ndio ni watu pekee.. hao mama mama ntilie na wamachinga wanaona kitu spesho kwao kwavile tu katika utawala wa Magufuli wamepewa uhuru kufanya shuguli zao hata barabarani jambo ambalo kwa mama ntilie na wamachinga wa vijijini hakuna uspesho kwao.
vijijini huko wananchi wamelazimishwa kuchangia miradi ya maendeleo. Ni lazima mwananchi achangia ujenzi wa shule ama madarasa, lazima mwananchi achangia ujenzi wa zahanati. Usipochangia unakamatwa unawekwa ndani. Watendaji wa vijiji wanawajibishwa kuwa lazima wafanye wafanyavyo watu wachangie miradi wo wenyewe.
Wafanyakazi wa serikali wameimba weeee ongezeko la mishahara lakini wapi.
Sasa nashangaa mnaposema raisi wa wanyonge halafu wanyonge wenyewe mkiulizwa mnasema wamachinga, bodaboda na mama ntile. Vipi watu waliopo vijijini huko na waajiriwa wa serikalini wamkumbuke kwa lipi?
 
Kwa ware ambao maisha yao hayakiguswa ambao ni wanachi wengi wa kawaida, walimpenda sana, lkn watumishi wa serikali, wafanyabiashara, na wLe waliotendwa ktk utawala weke wakiwemo wanasiasa hawakumkubali. Binafsi mimepima kwenye mikusanyiko, hali ni tofauti. Kon zipo nyingiwmno
 
UNGEKUEPO NA KUSHUHUDIA NYERERE ALIVYO KUFA, UMATI ULIKUA MARA 3 AU 5 YA HUU. SASA SIJUI UNGESEMA NYERERE NI MUNGU...?
Tulioshuhudia mikusanyiko ya Nyerere huu Magu tunaona ni mdogo sana. By that time hakuna social media
 
UNGEKUEPO NA KUSHUHUDIA NYERERE ALIVYO KUFA, UMATI ULIKUA MARA 3 AU 5 YA HUU. SASA SIJUI UNGESEMA NYERERE NI MUNGU...?
Tulioshuhudia mikusanyiko ya Nyerere huu Magu tunaona ni mdogo sana. By that time hakuna social media
Unaumia ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unaumia ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bank NBC HQ naingiza pesa baada ya kupata faida ya biashara zangu...
Wewe unafurahia nyomi la msiba ukiwa kwa mume wa dada yako au nyumban kwa ndugu zako...? Endelea kupumuliwa
 
Kwa ware ambao maisha yao hayakiguswa ambao ni wanachi wengi wa kawaida, walimpenda sana, lkn watumishi wa serikali, wafanyabiashara, na wLe waliotendwa ktk utawala weke wakiwemo wanasiasa hawakumkubali. Binafsi mimepima kwenye mikusanyiko, hali ni tofauti. Kon zipo nyingiwmno
Wengi wa wasiompenda Magu ni Wauza dawa za kulevya, wafanyabiashara wasiopenda kulipa kodi, majizi na mafisadi, vibaraka wa mabeberu, wanasiasa ambao walipigwa pini kuacha kuhubiri siasa na kufanya kazi, wafanyakazi wa serikalini waliozoea posho haramu na wananchi wachache wasiojitambua.

Iko hivyo yani.
 
Bank NBC HQ naingiza pesa baada ya kupata faida ya biashara zangu...
Wewe unafurahia nyomi la msiba ukiwa kwa mume wa dada yako au nyumban kwa ndugu zako...? Endelea kupumuliwa
Soma hapa zen jichunguze kundi ulilopo na jibu utakuwa nalo [emoji116][emoji116][emoji116]
Wengi wa wasiompenda Magu ni Wauza dawa za kulevya, wafanyabiashara wasiopenda kulipa kodi, majizi na mafisadi, vibaraka wa mabeberu, wanasiasa ambao walipigwa pini kuacha kuhubiri siasa na kufanya kazi, wafanyakazi wa serikalini waliozoea posho haramu na wananchi wachache wasiojitambua.

Iko hivyo yani.
 
UNGEKUEPO NA KUSHUHUDIA NYERERE ALIVYO KUFA, UMATI ULIKUA MARA 3 AU 5 YA HUU. SASA SIJUI UNGESEMA NYERERE NI MUNGU...?
Tulioshuhudia mikusanyiko ya Nyerere huu Magu tunaona ni mdogo sana. By that time hakuna social media
Eti Nyerere alikuwa na nyomi kuliko la Magu, hapo hapo mnasema watu walikodiwa magari kujaza uwanja, baada ya kuona mmefeli maelezo yenu mnaanza kusema marehemu aachwe kutembezwa, yn yote hii ni aibu iliyowapata baada ya kuona watu walimpenda Magu kinyume na mahubiri mliyokuwa mkiyatoa hapa.

Jamaa kavunja rekodi zootee za mazishi hapa Tz na haitokuja kutokea hivi karibuni.
 
Soma hapa zen jichunguze kundi ulilopo na jibu utakuwa nalo [emoji116][emoji116][emoji116]
NYIE NDIO WAPUUZI AMBAO MLIKUA MNASHINDWA KUMUELEWA MAGU, Mnaishia kuwachukia watu wenye pesa, sasa kwa taarifa yako hakuna kipindi watu wametengeneza pesa kama awamu hii. Alichotaka yeye watu ni kua na nidhamu ya matumizi ya pesa. Sasa wewe endelea kushabikia umasikini wako ukiwa kwenye nyumba za watu...
 
Angalieni huyu ni Rais kafariki sio Jambazi kwahio hata kama kuna watu walikua hawampendi wameumizwa kufariki kwake kwa sababu pia imekua kwa mshituko sana kwaio wengi bado wapo kama kwenye ombwe hawaelewi is it real!!!
 
NYIE NDIO WAPUUZI AMBAO MLIKUA MNASHINDWA KUMUELEWA MAGU, Mnaishia kuwachukia watu wenye pesa, sasa kwa taarifa yako hakuna kipindi watu wametengeneza pesa kama awamu hii. Alichotaka yeye watu ni kua na nidhamu ya matumizi ya pesa. Sasa wewe endelea kushabikia umasikini wako ukiwa kwenye nyumba za watu...
Naona umejijibu vzr, asante sana [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Niseme tu pia kuwa sipendelei mwili wake kuzungushwa zungushwa sehemu tofauti nchini, lakini naelewa.

Ila, if Dar is anything to go by, this guy was loved!

Leo mabodaboda wameongoza msafara wake kwenda uwanja wa Uhuru, tena kwa amani kabisa.

Wala hawakubugudhiwa na Askari.
Mkuu hili nililiona Live hapa Chang’ombe ,
Tukubali tu Tanzania kuna Dunia mbili Dunia ya mitandaoni na Dunia halisi nje ya mitandao
Ukisoma tu mitandao unaweza sema jamaa alikua anachukiwa sanaa
Ila ukirudi mitaani ambao ndio kwa wapiga kura halisi ni tofauti sana ,the guy is loved aisee

Wapinzani wana lakujifunza hapa ,
 
Back
Top Bottom