Machozi hunitiririka nikiwatazama binti zangu

Machozi hunitiririka nikiwatazama binti zangu

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
emoji24.png
emoji24.png
ninawazia sana wanangu wa kike.
  • Je niwalee kwa misingi ipi.
  • Niwaambie nini wapigane na tamaa za maisha?
  • Nitaweza? Nitawezaje?
  • Inamaana nikishindwa na wanangu wataomba pesa kwa wanaume kumi
  • Vipi hao kumi wote wakimwambia akafuate
  • Inamaana mwanangu ataliwa na wanaume kumi?
Nifanyaje?

Betty anafanya kazi ta....
  • Aliingia kwa kuhonga mbususu
  • Akapewa kazi
  • Anavaa na kupendeza
  • Kimotoro nae yeye ni dada wa pili kwenye familia yao,
  • Yeye hana kazi yoyote ila ni rafiki mkubwa sana wa Betty
  • Je anatumiaje kiswaswadu wakati mwenzie ana iphone
  • Kinachofuata ni kupatikana kwa iphone no matter how!

Tuwaze pamoja kama siku Betty akinunua gari
 
We mlee mtoto wako akue...

Hayo mengine mwachie mwenyewee maana Dunia ni mwalim wa kila mtu hata wewee tuu.

Sa kama mtoto wako hataki kuelewa ama kusikia basi akikuwa atapigwa sanaa mti nyama maana kichwa cha juu kisipo fanya kazi basi cha chinii ndo kitaumia.

]
 
Jitahidi kuwalea kwa misingi ya Dini/Kiimani ingali mapema, itasaidia kukabiliana na yajayo kwa kiasi chake
 
emoji24.png
emoji24.png
ninawazia sana wanangu wa kike.
  • Je niwalee kwa misingi ipi.
Jambo la kwanza jitahidi kuwasomesha vizuri nabinti zetu ili wawe na uelewa wa namna ya kukabikiana na maisha, pili uwe karibu nao kipindi chote kujua wanaishije, wana matatizo gani na uwasaidie kuwatatulia shida zao
 
Huko nako kuna mabazazi siku hizi
Daaahh, tutaponea wapi mh mjumbe!

Vijijini asilimia kubwa wanaozeshwa mapema, ambapo kuna haki wanazikosa kwa kuozeshwa mapema.

Ukisema ngoja umpatie haki zake hasa kielimu hadi utakaporizika na aweze kumudu mazingira, hili jinamizi lazima limpitie.

Dunia imeshachafuka vya kutosha
 
Back
Top Bottom