Machozi hunitiririka nikiwatazama binti zangu

Machozi hunitiririka nikiwatazama binti zangu

emoji24.png
emoji24.png
ninawazia sana wanangu wa kike.
  • Je niwalee kwa misingi ipi.
  • Niwaambie nini wapigane na tamaa za maisha?
Wafundishe njia za kujihami, ulizotumia kuwarubuni binti wa watu.
 
Jitahidi kuwalea kwa misingi ya Dini/Kiimani ingali mapema, itasaidia kukabiliana na yajayo kwa kiasi chake

Hahaha nimekumbuka tu wale waalimu wa madarasa ya watoto, kwaya, wahubiri wanaokula mbususu za wadada kwa raha zao...
 
Ki ukweli hili swala nami hua nalitafakarai, najaribu kumuomba Sana Mungu kuniongoza ktk kuwalea, nawafundisha Sana wasinihofie Mimi Ila wamuhofu Mungu, mpaka hapa naona kwa kiasi inasaidia, mitihani unakuja kwa kuwaza je wataendelea hivi hivi? Narudi Tena kwa Kwa Mola wangu na kumuomba azidi kuwaongoza
 
Jambo la kwanza jitahidi kuwasomesha vizuri nabinti zetu ili wawe na uelewa wa namna ya kukabikiana na maisha, pili uwe karibu nao kipindi chote kujua wanaishije, wana matatizo gani na uwasaidie kuwatatulia shida zao
Kuna mambo mengine hupaswi kuwasaidia wewe kama mzazi acha tupambane na hali zetu watoto zetu wa siku hizi kuliwa kuko pale pale.
 
Hii ishu nilijaribu kuiongea kwenye uzi flani hivi ila Cha ajabu wanawake wenyewe ndio walinijia juu utafikiri nimewatishia kuwa ua

Kilicho Baki mzee Mambo ya wanawake ni kuwaachia awenyewe na mama zao watujua wenyewe maana ukijaribu kuyawaza utaumiza kichwa na ufe siku si zako bure
 
Watoto wetu wa kike kuliwa na kuishi kwa kudanga ni matokeo ya malezi ambayo wamepitia kwa baba zao na mama zao.

Kosa linaanza kwa mama anapokuwa hajui namna ya kukubali proposal ya mwanaume ambaye si kiongozi wa familia. Anaangalia mwanaume mwenye pesa au atakae mpatia anachotaka. Uchoyo huu wa mama kutozingatia baba mzuri kwa watoto wake ndio huzaa majanga baadae katika swala la malezi.

Kuwa na baba mlezi wa watoto na kiongozi wa familia ni jambo nyeti na muhimu sana. Changamoto ya sasa ni kuwa kuna muingiliano sana wa kimajukumu, wanawake wanafanya majukumu ya kiume na ya kike wanaume wanaweza wasifanye kabisa majukumu yao yaani wapo wapo tu kama sanamu katika nyumba.

Baba na mama jifunzeni kutambua majukumu yenu na simaanishi kwenye maswala ya kulipa bili za familia tu. Namaanisha kwenye malezi ya watoto na familia.

Mtoto wa kike anaanza kujifunza kutoka kwa namna baba anampenda mama. Pili anajifunza namna baba anajituma kwa familia na pia anajifunza kwa namna baba anakuwa best friend wake.

Kuwa baba mzuri haimaanishi uwe unampakata mtoto wako muda wote na kumbusubusu kama sokwe. Kuwa baba ni kuinstall discipline na positive masculine energy ndani ya binti yako kwa kumpa attention ya mahitaji yake muhimu mfano mavazi, chakula, dawa afya ya mwili, kumfundisha limit ya vitu anavyoweza pata ( ajue tofauti ya vitu anataka na vitu anahitaji).

Kwa kifupi usimspoil sana au kumpa over discipline hadi akawa kama mtumwa. Maisha yanataka watu wenye ubongo na akili flexible ambayo ina adjust according to the presented scenario.

Unaona mtu kama Captain Gardner G Habash, yule binti yake namna amemlea muda wote kamuweka mapajani yaani hadi unaweza hisi vibaya kuwa baba anagegeda mwanae.

Unakaaje na binti yako unamshika shika na keshakuwa mkubwa, unamkumbatia kwa nyuma kama unambambia ule ni upumbavu. Unamtamkia kuwa huyu me nataka aolewe na mtu mzima ili ampe matunzo ya kiutu uzima so akikutana na kijana mzuri mwenye maadili akae akatafute watu walio umri wa baba yake?! Matokeo m'meyaona tayari binti kajawa na kiburi (Cinderella Complexity syndrome) akaona yeye anaweza kufanya chochote sababu my Daddy has got my back kapigwa kitu now anasubiria kitoto ambacho kitalelewa na single mother na babu asiejua kakosea wapi.

Malezi ni jambo natural ambalo halitaki ufundi mwingi wala too much knowledge. Ila basic principles zipo ambazo kila mtu lazima azifuate nazo ni, lazima mwanamke ajitunze kimwili kwa maana asiwe na wanaume zaidi ya m'moja, katika kuingia kimahusiano aweze kuona natural male traits and natural leadership traits ndani ya mwanaume atayempa usichana /mwili wake, akiingia ndani ya mahusiano/ ndoa ni vema kutambua/kuelewa/ na kusimamia majukumu ya jinsia husika period, halafu utaniambia kama watoto watakuja kuwa worse off.

Nina mengi ya kusema i think mtayapata kwenye channel yangu ya YouTube ambayo soon itafunguliwa na mtajifunza bure kabisa bila kugharamika hata senti tano ili tujenge misingi ya jamii yetu upya jamii ambayo kwasasa inashambuliwa na western culture influence kwa kasi na kutuharibia mabinti na dada zetu na watoto wa kiume kukosa uelekeo sababu ya kukosa sehemu ya kufiti katika jamii.
 
Ndio kazi walioumbiwa, ni wasaidizi. Kutua mzigo wa wazungu na kunifanya nipate wepesi sio jambo dogo sheikh!
Wanastahili zawadi
 
Na siku hizi ni bora mtoto wa kike hata akiwa analiwa ni fresh tu coz ndo kaumbwa kuliwa na hakuna namna ila shida now ipo kwa watoto wa kiume kugeuzwa kuwa mashoga ni dakika sifuri

Nawashauri msijisahaulishe kwenye malezi ya watoto wa kiume
 
Shule tu mkuu, at least wanoponapona ingawa bado nature itawadai. Ndo hivo Mimi pia huwa nawaza sn huyu binti yangu aisee
 
Back
Top Bottom