Machozi ni Dawa

Machozi ni Dawa

ukiona mtu mzima mama analia mbele za watu ujue kuna jambo X 2

naimba tu
waite msondo ngoma kilio cha mtu mzima
 
Ila kuna pretenders anacheka muda huo na ghafla anabadilika na kuanza kulia hasa huwa nashangazwa mno na hiki kitendo nimewashuhudia mara nyingi wanasiasa na wasanii wakifanya hivi hasa pale camera zinapoelekezwa upande wao, yani unamuona kabisa mtu anavuta kasi ya kumwaga michozi
 
Ila kuna pretenders anacheka muda huo na ghafla anabadilika na kuanza kulia hasa huwa nashangazwa mno na hiki kitendo nimewashuhudia mara nyingi wanasiasa na wasanii wakifanya hivi hasa pale camera zinapoelekezwa upande wao, yani unamuona kabisa mtu anavuta kasi ya kumwaga michozi

Hao bongo movie hao
 
vp kuhusu wale wanaolia wakati wa kugegedans, tunawaweka grup gan, hayo machoz yao
 
vp kuhusu wale wanaolia wakati wa kugegedana, tunawaweka grup gan, hayo machoz yao
 
kweli aisee mi nikiwa nimekwazika nikilia au kunywa maji napata comfort
 
Naona kama thread imekaa kike kike vle...
Maana hata mifano imetolewa kwa wanawake tu.....
Asante mkuu kwa kuwasaidia ili waendelee kutudekea vizur....

Ulichonfurahisha mkuu ni ile kuwafundisha wawe wanatafuta sehema ya siri ya kulilia... hii itatusaidia vidume kutowaona kirahisi maana wanawake wengine ukithubutu tuu kumnyamazisha....akinyamaza... kama asipokuomba Hela basi utasikia "baby utaninunulia simu"

Kwaiyo mkuu jitahid uwatumie na nyingne ili wanapomaliza kulia wasiwe wanatusumbua....
Asante....
 
Mkuu na mm najitahid nilie ila nilie mara ngap kwa siku docta?
 
Woyooooooo mayoweeeeee wananifanyia makusudiiiiiiiiiiiiiii mayoooooooooo ihiihihuh

Dah some how now thanks mtoa uzi now i feel confortable
 
Naona kama thread imekaa kike kike vle...
Maana hata mifano imetolewa kwa wanawake tu.....
Asante mkuu kwa kuwasaidia ili waendelee kutudekea vizur....

Ulichonfurahisha mkuu ni ile kuwafundisha wawe wanatafuta sehema ya siri ya kulilia... hii itatusaidia vidume kutowaona kirahisi maana wanawake wengine ukithubutu tuu kumnyamazisha....akinyamaza... kama asipokuomba Hela basi utasikia "baby utaninunulia simu"

Kwaiyo mkuu jitahid uwatumie na nyingne ili wanapomaliza kulia wasiwe wanatusumbua....
Asante....

Hahahahahah umenifurahisha sana aisee.
 
Na wasanii wanaojilizaliza huwa wanatoa aina gani ya machozi?
 
Binamu warumi, hivi yale machozi yanayotoka wakati wa kupiga miayo huwa yana faida???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom