Machozi ni Dawa

Machozi ni Dawa

Habari za wakati huu wana-jukwaa.

mara nyingi sana nimekuwa nikushundia watu kulia hasa wanapoumizwa juu ya jambo fulani ikiwemo kuchapwa,kufiwa,furaha iliyozidi kiasi, n.k

vile vile huwanga naona watoto wamekuwa na tabia ya kulia, ili hali hakuna mtu yeyote aliyemfundisha kwamba ukipwata na maumivu lazma ulie,.

je? wana-jf kuna faida yeyote inayotokana na kulia.
 
Kwa mtoto anatanua mapafu,
Kwa mtu mzima anatoa dukuduku lake la moyoni.
 
kulia nitiba ya moyo unashauriwa kulia pale tu unapo hisi unamaumivu moyon kwan ukibaki kimya ilhali unaumia bac unaweza paungonjwa wa moyo
 
Kulia ni negative energy release. Ni poa kulia pale unapkouwa na issue negative
 
Inasaidia kutoa sumu ya hasira mwilini!
Usipolia wakati unahasira, mwili hutengeneza sumu ambayo huleta depression!
Ndio mana wanaume wanakufa mapema zaidi kwakuwa hawalii, na inapotokea wanajisikia kulia hujizuia, mwishowe ni death!
 
na kwenye mambo yetu yale wapo wanaolia raha zikizidi je hiyo ni aina gani?
 
Inasaidia kutoa sumu ya hasira mwilini!
Usipolia wakati unahasira, mwili hutengeneza sumu ambayo huleta depression!
Ndio mana wanaume wanakufa mapema zaidi kwakuwa hawalii, na inapotokea wanajisikia kulia hujizuia, mwishowe ni death!

Ni kweli usemayo mkuu. Jamii ilituaminisha kuwa mwanaume halii,kumbe tunajilimbikizia sumu mwilini n.k!! Mimi mtu akilia huwa sim'bembelezi! kwa kuwa najua faida ya kulia.
 
Jamani mie kwa kulia hadi najichukia!!!

Yani huwa nalia kila ninapokerwa lakin nikifuta chozi basi na msamaha tayari ..huwa nakuwa nishamsamehe aliyenikera na simuulizi tena..

Mara nyingi nakimbilia kulia hasa nikishindwa kumalizia hasira yangu vile nitakavyo!!
 
Back
Top Bottom