Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Basi tezi zako za machozi zitakuwa na matatizo binamu.
Siku hizi we dokta???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tezi zako za machozi zitakuwa na matatizo binamu.
Basi tezi zako za machozi zitakuwa na matatizo binamu.
Kwa mtoto anatanua mapafu,
Kwa mtu mzima anatoa dukuduku lake la moyoni.
shukuruni!!!
Inasaidia kutoa sumu ya hasira mwilini!
Usipolia wakati unahasira, mwili hutengeneza sumu ambayo huleta depression!
Ndio mana wanaume wanakufa mapema zaidi kwakuwa hawalii, na inapotokea wanajisikia kulia hujizuia, mwishowe ni death!