Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Vipi na yule aliedanganya kua Mpango amekufa?Mzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
YouTube naandikaje mkuu niweze kushuhudia?Ni Mungu tu
Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuuChanjo nitatumiia ya beberu mungu akipenda, vipi ule Uzi wako ulioanzisha ukiusoma sasa hivi unasikia kichefuchefu. Mimi ni mujinga kweri ila sijawahi muachie mjinga mwingine akiri zangu na kubishana na sayansi. Akiri zimewakaa sawa au bado?
Mentality of living in a state of denial!Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuu
Kama ilivyo kwa malaria, hiv, cancer, diabetes, bp kuna kuna kuugua kupona na kufa ndivyo ilivyo kwa corona
Upo!?
Aksante sana utafikiri ulikuwa kichwani mwangu!!Kwanza naomba nianze kwa kumpa pole Dkt. Philip Mpango kwa kupambania afya yake kwa hizo wiki 2. Mungu amjalie apone kabisa mapema ili aweze kujumuika na familia yake.
Tukirudi kwenye mada, kwanza kama hujaitazama ile interview nenda youtube ukaitazame ndipo urudi hapa kuendelea kusoma. Kama haujaumwa au haujamuona anayeumwa hii nimonia kali tuliyonayo kwa sasa unaweza usielewe ukatili wa kirusi cha corona.
Tumshukuru Dr Mpango kwa kufanya ile press conference,nadhani sasa watu wataelewa na wote tutazingatia njia za kujikinga na hiki kirusi. Waziri ametoa chozi hadharani sio kwa sababu nyingine bali ni kwa sababu ameponea chupuchupu. Hii nimonia kali haifai kabisa, omba isikukute.
Machozi ya Dr Mpango yawaamshe usingizini viongozi wetu na wajue kwamba this life is precious to everyone, hakuna asiyependa kuendelea kuishi, kila uhai unatakiwa kuthaminiwa na kupewa ulinzi wa hali ya juu. Hivyo wachukue hatua sahihi zinazohakikisha kila mtu analindwa na hatari yoyote.
Dr Mpango amesema alikuwa anaishi kwa mtungi wa oksijeni nyumbani. Baadaye akahamishiwa hospitalini ambako amekaa kwa wiki 2 akipumulia oksijeni. Sasa tujiulize ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kununua mitungi ya oksijeni na kukaa nayo nyumbani pindi wanapoumwa?
Ni wachache sana hata asilimia 1 haifiki. Kwa muktadha huo njia rahisi na nyepesi ya kuepuka kufika huko ni kwa kuchukua tahadhari. Kinga siku zote huwa ni cheap kuliko tiba.
Hakika!Ni Mungu tu
Nimeogopa sana, nilishindwa kuangalia clip yote 😩Aisee inasikitisha kwa ile hali yake hakupaswa hata kufanya press.
Unaona, unadhani kucheza nazo ndio akili! Wewe ni mwendawazimu mmoja hivi, eti uko kwa oxygen uchukue simu umtumie Magufuli! Mdanganye mpuuzi mwenzioPumbavu kabisa.....nisiijue oxygen wakati ndo nacheza nayo kila siku.
Wewe ni hayawani kama mahayawani wengine
Sasa kelele zilikua za nini??Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuu
Kama ilivyo kwa malaria, hiv, cancer, diabetes, bp kuna kuna kuugua kupona na kufa ndivyo ilivyo kwa corona
Upo!?
Wote lao mojaVipi na yule aliedanganya kua Mpango amekufa?
Atueleze kwanza kama wale wanaokufa kila siku ubeberuni kule nao nini wameshindwa fanya sawasawaPumbavu kabisa.....nisiijue oxygen wakati ndo nacheza nayo kila siku.
Wewe ni hayawani kama mahayawani wengine
Mazingira ya emergency yafanyike vipi?Mkuu tahadhari muhimu usisikilize kelele za wanaotaka Kodi badala ya kujadili huu ugonjwa na kuweka mazingira ya emergency...
Umepata kisingizio cha corona unaongea kweli sasa na kujitahidi kukoroma eti!... sasa nenda ukakoromee hukooo ubeberuniUnaona, unadhani kucheza nazo ndio akili! Wewe ni mwendawazimu mmoja hivi, eti uko kwa oxygen uchukue simu umtumie Magufuli! Mdanganye mpuuzi mwenzio
Sasa kelele zilikua za nini??
Lakini alisema kwamba mke wa Dr. Mpango alihusika na ile sms kwenye simu ya mumeweMzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
Uuuh!! ni Mungu tu
Hivyo wachukue hatua sahihi zinazohakikisha kila mtu analindwa na hatari yoyote.
Ina maana watu hatuwezi chukua hatua wenyewe mpaka tushikiwe fimbo?
UK USA na KN mbona wameswagwa kufanya hili na lile na hakuna walichofanikiwa??
Ombi langu kwa raisi wetu mpendwa:-
Endelea hivyo hivyo na misimamo yako. Kwani hakuna ujanja katika hili.
Uwe unasikiliza hotuba vzuri,,, mke pia anaweza tuma message kwa niaba ya mumeMzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya