#COVID19 Machozi ya Dkt. Mpango yasiende bure

#COVID19 Machozi ya Dkt. Mpango yasiende bure

Muwe mnaenda hospital kuona wagonjwa,afu nyie maccm ndio mnawaandikiaga wagonjwa wenye maradhi sugu barua zenye mihuri na saini ya mkuu wa wilaya wawe omba omba njiani badala ya kuwatibu.

Leo ndio mumejua kuna wagonjwa Kisa huyo mkubwa?
 
Mzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
Vipi na yule aliedanganya kua Mpango amekufa?
 
Afu kwa nini asijifukize mbona kuwekwa kwenye mitungi ya gas? Maccm acheni ushenzi kabisa wa kucheza na afya za watu,nunueni chanjo iletwe.
 
Afu kwa nini asijifukize mbona kuwekwa kwenye mitungi ya gas? Maccm acheni ushenzi kabisa wa kucheza na afya za watu,nunueni chanjo iletwe.
 
Huruma sana.

 
Chanjo nitatumiia ya beberu mungu akipenda, vipi ule Uzi wako ulioanzisha ukiusoma sasa hivi unasikia kichefuchefu. Mimi ni mujinga kweri ila sijawahi muachie mjinga mwingine akiri zangu na kubishana na sayansi. Akiri zimewakaa sawa au bado?
Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuu
Kama ilivyo kwa malaria, hiv, cancer, diabetes, bp kuna kuna kuugua kupona na kufa ndivyo ilivyo kwa corona
Upo!?
 
Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuu
Kama ilivyo kwa malaria, hiv, cancer, diabetes, bp kuna kuna kuugua kupona na kufa ndivyo ilivyo kwa corona
Upo!?
Mentality of living in a state of denial!
 
Kwanza naomba nianze kwa kumpa pole Dkt. Philip Mpango kwa kupambania afya yake kwa hizo wiki 2. Mungu amjalie apone kabisa mapema ili aweze kujumuika na familia yake.

Tukirudi kwenye mada, kwanza kama hujaitazama ile interview nenda youtube ukaitazame ndipo urudi hapa kuendelea kusoma. Kama haujaumwa au haujamuona anayeumwa hii nimonia kali tuliyonayo kwa sasa unaweza usielewe ukatili wa kirusi cha corona.

Tumshukuru Dr Mpango kwa kufanya ile press conference,nadhani sasa watu wataelewa na wote tutazingatia njia za kujikinga na hiki kirusi. Waziri ametoa chozi hadharani sio kwa sababu nyingine bali ni kwa sababu ameponea chupuchupu. Hii nimonia kali haifai kabisa, omba isikukute.

Machozi ya Dr Mpango yawaamshe usingizini viongozi wetu na wajue kwamba this life is precious to everyone, hakuna asiyependa kuendelea kuishi, kila uhai unatakiwa kuthaminiwa na kupewa ulinzi wa hali ya juu. Hivyo wachukue hatua sahihi zinazohakikisha kila mtu analindwa na hatari yoyote.

Dr Mpango amesema alikuwa anaishi kwa mtungi wa oksijeni nyumbani. Baadaye akahamishiwa hospitalini ambako amekaa kwa wiki 2 akipumulia oksijeni. Sasa tujiulize ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kununua mitungi ya oksijeni na kukaa nayo nyumbani pindi wanapoumwa?

Ni wachache sana hata asilimia 1 haifiki. Kwa muktadha huo njia rahisi na nyepesi ya kuepuka kufika huko ni kwa kuchukua tahadhari. Kinga siku zote huwa ni cheap kuliko tiba.
Aksante sana utafikiri ulikuwa kichwani mwangu!!
Hili ni fundisho kubwa sana!!
 
Pumbavu kabisa.....nisiijue oxygen wakati ndo nacheza nayo kila siku.
Wewe ni hayawani kama mahayawani wengine
Unaona, unadhani kucheza nazo ndio akili! Wewe ni mwendawazimu mmoja hivi, eti uko kwa oxygen uchukue simu umtumie Magufuli! Mdanganye mpuuzi mwenzio
Ule uzi uko palepale, pata chanjo ya beberu ikutibu hisia zako tuu
Kama ilivyo kwa malaria, hiv, cancer, diabetes, bp kuna kuna kuugua kupona na kufa ndivyo ilivyo kwa corona
Upo!?
Sasa kelele zilikua za nini??
 
Pumbavu kabisa.....nisiijue oxygen wakati ndo nacheza nayo kila siku.
Wewe ni hayawani kama mahayawani wengine
Atueleze kwanza kama wale wanaokufa kila siku ubeberuni kule nao nini wameshindwa fanya sawasawa
 
Unaona, unadhani kucheza nazo ndio akili! Wewe ni mwendawazimu mmoja hivi, eti uko kwa oxygen uchukue simu umtumie Magufuli! Mdanganye mpuuzi mwenzio

Sasa kelele zilikua za nini??
Umepata kisingizio cha corona unaongea kweli sasa na kujitahidi kukoroma eti!... sasa nenda ukakoromee hukooo ubeberuni

Vinginevyo chukua tahadhari, fanya kazi sana, Kula vizuri, fanya mazoezi na kubwa ya yote muombe Mungu aliyekupa hiyo pumzi sanaaa
 
Mzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
Lakini alisema kwamba mke wa Dr. Mpango alihusika na ile sms kwenye simu ya mumewe
 
Hakuna walichofanikiwa!!!!??
Hivyo wachukue hatua sahihi zinazohakikisha kila mtu analindwa na hatari yoyote.

Ina maana watu hatuwezi chukua hatua wenyewe mpaka tushikiwe fimbo?
UK USA na KN mbona wameswagwa kufanya hili na lile na hakuna walichofanikiwa??

Ombi langu kwa raisi wetu mpendwa:-

Endelea hivyo hivyo na misimamo yako. Kwani hakuna ujanja katika hili.
 
Mzee Baba alitupiga changa la macho kuwa Alitumiwa SMS na Mpango, kumbe Mpango alikua kwenye Oxygen hadi juzi! Aibu sana kudanganya
Uwe unasikiliza hotuba vzuri,,, mke pia anaweza tuma message kwa niaba ya mume
 
Back
Top Bottom