Machozi ya furaha yananidondoka kila wakati ni kitazama maendeleo makubwa yalioletwa na Rais Samia

Machozi ya furaha yananidondoka kila wakati ni kitazama maendeleo makubwa yalioletwa na Rais Samia

Mafyangula

Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
75
Reaction score
100
Rais wetu kipenzi cha Watanzania wote Dkt Samia Suluhu Hassani, hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana maana kila kona ni maendeleo.

Kwenye huduma za afya umeweka hela nyingi kama vile ujenzi wa zahanati, vituo vya afya, madawa n.k
Umegusa kwenye miundombinu ya barabara huko usiseme, Umeme upo na utakuwepo hadi kutapika.

Umemwaga ajira za kutosha, umemtua ndoo kichwani mwanamke. Yani umetenda haki kwa watanzania.

Kwa makubwa uliyoyafanya vyama vya upinzani vinahaa sana tena sana na kama kile chama cha waropokaji.

Mama Samia mitano tena hadi 2030 unaweza hasaaaa! kazi yako ni kubwa sana na wewe ndiye Rais ambaye Mungu alikuwa na kusudi na wewe sanaaaa. Mungu akulinde akuepushie vijicho vya waliwengu wenye roho mbaya....!
 
Uchawa kazi sana yote haya kuvizia buku 8 mkuu fanya kazi huyo mama yako akitoka utapata shida na sijui wanao watalisi hiyo buku 8 yaan aibu sana
 
Rais wetu kipenzi cha Watanzania wote Dkt Samia Suluhu Hassani, hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana maana kila kona ni maendeleo.

Kwenye huduma za afya umeweka hela nyingi kama vile ujenzi wa zahati, vituo vya afya, madawa n.k
Umegusa kwenye miundombinu ya barabara huko usiseme, Umeme upo na utakuwepo hadi kutapika.

Kwa makubwa uliyoyafanya vyama vya upinzani vinahaa sana tena sana na kama kile chama cha waropokaji.

Mama Samia mitano tena hadi 2030 unaweza hasaaaa! kazi yako ni kubwa sana na wewe ndiye Rais ambaye Mungu alikuwa na kusudi na wewe sanaaaa. Mungu akulinde akuepushie vijicho vya waliwengu wenye roho mbaya....!
Unatumia vibaya sana uhai wako
 
Mpongeze tu,kulialia nako siyo kuzuri
 
Machozi yasikudondoke unapowaona wazazi wako waliovuana aibu wakafanya kitu ukapatikana wewe kichwa maji yakudondoke kwa mtu anayefanya vitu kwa kodi yako huku akishindwa kusimamia vizuri kile unachokamuliwa?
 
Machozi yasikudondoke unapowaona wazazi wako waliovuana aibu wakafanya kitu ukapatikana wewe kichwa maji yakudondoke kwa mtu anayefanya vitu kwa kodi yako huku akishindwa kusimamia vizuri kile unachokamuliwa?
Acha kuleta habari za wazazi hapa, mimi naenjoy na Rais wangu. Kama wewe unateseka teseka kivyako
 
Nyie wapumbavu machawa ndio mnaosababisha rais achukiwe sijui kama mnalijua hilo
 
Niliposoma kichwa cha habari nikadhani mwandishi ni Lucas Mwashambwa, kumbe siye. Huyu atakuwa ameiga mwandiko wake.
 
Acha kuleta habari za wazazi hapa, mimi naenjoy na Rais wangu. Kama wewe unateseka teseka kivyako
Mimi nawahurumia wao kwa kukuzaa wewe siyo vibaya tukaungana wote kuwahurumia.

Kingine sa100 hawezi akanitesa atakutesa wewe lia lia unaetegemea umsifie mitandaoni ili uingize siku kama sivyo wewe siku mbili nyingi mtaani vitapigwa vigelegele umefungiwa ndani.
 
Rais wetu kipenzi cha Watanzania wote Dkt Samia Suluhu Hassani, hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana maana kila kona ni maendeleo.

Kwenye huduma za afya umeweka hela nyingi kama vile ujenzi wa zahati, vituo vya afya, madawa n.k
Umegusa kwenye miundombinu ya barabara huko usiseme, Umeme upo na utakuwepo hadi kutapika.

Kwa makubwa uliyoyafanya vyama vya upinzani vinahaa sana tena sana na kama kile chama cha waropokaji.

Mama Samia mitano tena hadi 2030 unaweza hasaaaa! kazi yako ni kubwa sana na wewe ndiye Rais ambaye Mungu alikuwa na kusudi na wewe sanaaaa. Mungu akulinde akuepushie vijicho vya waliwengu wenye roho mbaya....!
Lucas Mwashambwa kumbe hii ndio Ile ID yako nyingine
 
Rais wetu kipenzi cha Watanzania wote Dkt Samia Suluhu Hassani, hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana maana kila kona ni maendeleo.

Kwenye huduma za afya umeweka hela nyingi kama vile ujenzi wa zahati, vituo vya afya, madawa n.k
Umegusa kwenye miundombinu ya barabara huko usiseme, Umeme upo na utakuwepo hadi kutapika.

Kwa makubwa uliyoyafanya vyama vya upinzani vinahaa sana tena sana na kama kile chama cha waropokaji.

Mama Samia mitano tena hadi 2030 unaweza hasaaaa! kazi yako ni kubwa sana na wewe ndiye Rais ambaye Mungu alikuwa na kusudi na wewe sanaaaa. Mungu akulinde akuepushie vijicho vya waliwengu wenye roho mbaya....!

God bless Dr.Samia Suluhu Hassan, aimen 🙏
 
……………………………………………….
 
Back
Top Bottom