Machozi ya furaha yananidondoka kila wakati ni kitazama maendeleo makubwa yalioletwa na Rais Samia

Hongera
 
Uchawa kazi sana yote haya kuvizia buku 8 mkuu fanya kazi huyo mama yako akitoka utapata shida na sijui wanao watalisi hiyo buku 8 yaan aibu sana
Watoto wangu wanakula vizuri sana tu na watendelea kufurahi maisha
 
Au kuna mtu haoni au hasikii yanayofanywa na rais hadi nyie machawa mtangaze, msemaji w serikali G.Msigwa afanye kazi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…