Kumbe Ruto pamoja na kujishasha kwake na hatma ya majaji wale 6 mbele ya wageni wasiohusika, kingali kimeumana?
Kwa hakika ndiyo maana watawala wetu wakisikia katiba mpya:
"Huwa hawaishiwi ndoto mbaya mbaya usiku wakikimbizwa na kupigiwa kelele za wezi,,, wauawaji ... zisizokoma."
Hawa 6 kwa Ruto walipenya, lakini kufanya kazi kama majaji, bado wamekikwaa kisiki kingine!
NInakazia: katiba yenye umadhubuti kama huu haiwezi kupatikana kirahosi kutoka kwa watawala, mezani.
Kwa hakika ndiyo maana watawala wetu wakisikia katiba mpya:
"Huwa hawaishiwi ndoto mbaya mbaya usiku wakikimbizwa na kupigiwa kelele za wezi,,, wauawaji ... zisizokoma."
Hawa 6 kwa Ruto walipenya, lakini kufanya kazi kama majaji, bado wamekikwaa kisiki kingine!
NInakazia: katiba yenye umadhubuti kama huu haiwezi kupatikana kirahosi kutoka kwa watawala, mezani.