Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
alitoa wimbo gani? au yule alikua member wa wateule?
msanii maharufu kipind cha nyuma kidogo amefarik dunia .Hizi habari nimepata kutoka watu wa karibu na yeye
ni maharufu kwa jina la MACK 2B
View attachment 114496.Dah!! Jamaa tulikuwa naye jana akadai baada ya kupona anatoa wimbo unaitwa After death.... Leo asubuhi hali ikawa mbaya sana ile kumpa soda anywe akafariki hatimaye. Tupo hapa home muda huu, tunazika kesho saa nne asubuhi...... Yombo makangarawe......
nini kimemuuwa?
jamaa naye alikuwa adicted na drugs.unga mbaya sana