Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
msanii maharufu kipind cha nyuma kidogo amefarik dunia .Hizi habari nimepata kutoka watu wa karibu na yeye
ni maharufu kwa jina la MACK 2B
ni maharufu kwa jina la MACK 2B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alitoa wimbo gani? au yule alikua member wa wateule?
msanii maharufu kipind cha nyuma kidogo amefarik dunia .Hizi habari nimepata kutoka watu wa karibu na yeye
ni maharufu kwa jina la MACK 2B
.Dah!! Jamaa tulikuwa naye jana akadai baada ya kupona anatoa wimbo unaitwa After death.... Leo asubuhi hali ikawa mbaya sana ile kumpa soda anywe akafariki hatimaye. Tupo hapa home muda huu, tunazika kesho saa nne asubuhi...... Yombo makangarawe......View attachment 114496.Dah!! Jamaa tulikuwa naye jana akadai baada ya kupona anatoa wimbo unaitwa After death.... Leo asubuhi hali ikawa mbaya sana ile kumpa soda anywe akafariki hatimaye. Tupo hapa home muda huu, tunazika kesho saa nne asubuhi...... Yombo makangarawe......
nini kimemuuwa?
jamaa naye alikuwa adicted na drugs.unga mbaya sana