Mackeninzie analalamika polisi wanamnyima chakula

DUNIA bwana,huyu analalamika polisi wanamnyima chakula wakati yeye aliwafungisha watu mpaka kufa ili wakamuone Yesu,kwani yeye hapendi kumuona YESU πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Yeye hakumnyima mtu chakula, waliokufa walifunga kwa hiari zao ndiyo sababu maiti ni chache kuliko waliohai.
 
Dah police wa Kenya,shikilieni hapo hapo akikaribia kumwona mnamzindua na uji laini wa moto,Hadi aseme kwann nayeye hakutaka kumwona Jesus
 
DUNIA bwana,huyu analalamika polisi wanamnyima chakula wakati yeye aliwafungisha watu mpaka kufa ili wakamuone Yesu,kwani yeye hapendi kumuona YESU πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Apache usenge yeye si amefunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…