TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha kufunga Kwa hiari na kunyimwa chakula Kwa lazimaDUNIA bwana,huyu analalamika polisi wanamnyima chakula wakati yeye aliwafungisha watu mpaka kufa ili wakamuone Yesu,kwani yeye hapendi kumuona YESU 😀
😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kwa hiyo ukifa kwa kunyimwa chakula humuoni yesu?Tofautisha kufunga Kwa hiari na kunyimwa chakula Kwa lazima
Kwa hiyo ukifa kwa kunyimwa chakula humuoni yesu?
[emoji38]Anyimwe hadi afe kama alivyofanya kwa wajinga wake
Yeye hakumnyima mtu chakula, waliokufa walifunga kwa hiari zao ndiyo sababu maiti ni chache kuliko waliohai.DUNIA bwana,huyu analalamika polisi wanamnyima chakula wakati yeye aliwafungisha watu mpaka kufa ili wakamuone Yesu,kwani yeye hapendi kumuona YESU 😀
😀 😀 😀 😀 😀 😀
AahaaaaaaaKwa hiyo ukifa kwa kunyimwa chakula humuoni yesu?
Apache usenge yeye si amefungaDUNIA bwana,huyu analalamika polisi wanamnyima chakula wakati yeye aliwafungisha watu mpaka kufa ili wakamuone Yesu,kwani yeye hapendi kumuona YESU 😀
😀 😀 😀 😀 😀 😀