Macocha Moshe Tembele ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Indonesia

Macocha Moshe Tembele ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Indonesia

yaani timu flani imefunga goli kumi,
Wapinzani wao ndio kwanza wana goli mbili lakini jamaa tumbo joto
Kweli aliyezoea mteremko siku akiukosa anaweza kufa kwa kihoro
 
Jamani wenye majina ya ajabu wanakula vitengo!

Mwingine anaitwa maharage Chande kala kitengo huko Tanesco.

Sasa sisi wenye majina ya kisasa tufanyeje
Maharage Chande ana channel long time.

Baba yake alikuwa RC Tanga tangu enzi za Nyerere, kaka yake Balozi Chande alikuwa Mkuu wa Itifaki na balozi Oman.

Yeye mwenyewe alikuwa CEO Multichoice kwa hivyo ana merit yake pia.

Kwa hivyo usione majina tu, hawa watu wanapendekezwa kwa mfumo maalum.
 
Back
Top Bottom