Mad max: Naipenda sana hii movie

Mad max: Naipenda sana hii movie

Bonge la movie hilo, my favourite movie. Huwa sichoki kuiangalia!
 
1x-1.jpg
Haaaa kitu cha muzik
 
Kuna hii hidden identity aisee bado huwa nawaza kuna watu wako na Uwezo mkubwa kiasi cha kufanya investigation kabambe kama ilivyo kwenye hii move?
 
umajuaje mkuu. waterworld ni moja ya movie niliyoangalia mara nyingi sana. costner kauzu sana humo ndani. kitu ya 1995 lakini mpaka leo hainichoshi.
Yes, Water world niliiona enzi za vibanda umiza. Ngoja nijaribu kuitafuta hii uliyoweka hapa.
 
Kuna hii hidden identity aisee bado huwa nawaza kuna watu wako na Uwezo mkubwa kiasi cha kufanya investigation kabambe kama ilivyo kwenye hii move?
mkuu hii ni movie au series?
 
Itafute na ile original ya miaka ya 1970, aliyocheza Mel Gibson. Utaona jinsi watu walivyokuwa na imaginations. Ila hii Mad Max Fury, Tom Hardy kacheza vizuri sana. Jamaa anakuja kwa kasi ya hatari.
 
Daah yani mad max sichoki kuiangalia
 
mi ninayo hapa kwenye pc huwa siielewi na sijawahi iangalia hadi mwisho naonaga km haina uhalisia
wale wote ni survivals wa vita kuu ya nyuklia. dunia imekuwa jangwa na wanaishi kwa magenge na kuporana. yule immortan joe akawa kama anajifanya messiah na wale war boys wakawa wakimsujudu wakiamini anafunguo za kuzimu/peponi (valhalla). pia alijimilikisha wanawake warembo kama wakeze.
yule furiosa alikuwa na plan ya kuwatorosha hao wanaweke kwenda sehemu aliyowahi ishi utotoni. hardy ye alikamatwa pale mwanzoni na kufanywa blood bag kwa yule war boy mgonjwa. jamaa alikuwa blood group O. pia kullikuwa na magenge mengine kama wale bikers wa kwenye korongo, bullet farm, gastown na wale wana gari kama nungunungu.
 
Najiulizaga sana jinsi wanavyo act moviez kama hizi daah"
kwa bajeti ya $135m zaidi Tsh 270bln kila kitu kinawwezekana. zile gari zinaundwa, wanatafuta stuntmen bora kabisa, animators na watu wa visual effect bora.
 
wale wote ni survivals wa vita kuu ya nyuklia. dunia imekuwa jangwa na wanaishi kwa magenge na kuporana. yule immortan joe akawa kama anajifanya messiah na wale war boys wakawa wakimsujudu wakiamini anafunguo za kuzimu/peponi (valhalla). pia alijimilikisha wanawake warembo kama wakeze.
yule furiosa alikuwa na plan ya kuwatorosha hao wanaweke kwenda sehemu aliyowahi ishi utotoni. hardy ye alikamatwa pale mwanzoni na kufanywa blood bag kwa yule war boy mgonjwa. jamaa alikuwa blood group O. pia kullikuwa na magenge mengine kama wale bikers wa kwenye korongo, bullet farm, gastown na wale wana gari kama nungunungu.
Daaah mkuu hata mimi nili angalia mara mojaa ilaa sikuielewaa ila nili enjoy action tu....
Subiri nika I preview mara ya pili
 
Me movies za namna hii huwa hazinikamati sijui kwa nini
 
kwa bajeti ya $135m zaidi Tsh 270bln kila kitu kinawwezekana. zile gari zinaundwa, wanatafuta stuntmen bora kabisa, animators na watu wa visual effect bora.
$135m kweli hapo hamna kinachoshindikana" na ndio maana hii movie ilikua shida sana kuipata free ilivyotoka ilichukua muda ndio wakaiachia clear version kwenye torrent kwetu cc wapenda mteremko
 
Back
Top Bottom