Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

View attachment 1474221
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU GARI HII
Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote ya husuyo hizi aina za haya magari.

Stability zake,upatikanaji wa spare na mengine yote ambayo mtu yeyote angependa kuyajua.Huyu jamaa yupo mkoani na amejaribu kuangalia aina hizo hazipo na yeye yupo interested nayo kwa kuwa ni 4DW kulingana na maeneo anayoishi anahitaji mkoko wa namna hiyo.

Kwa kuwa JF inakila aina ya uelewa kwa niaba yake naomba niwasilishe ili apate la kumsaidia kwenye hii issue nzima.
---

View attachment 1485098
UFAFANUZI ULIOTOLEWA NA WADAU

---

---

---

---

---

---
Aiseee ni kagari kazuri ila mi niliwahi gargara nako cna hamu
 
Wakuu husikeni na kichwa cha habari hapo juu

Kwa muda mrefu sana nimekua na ndoto ya kumilik gari ya juu nikimaanisha SUV

Mungu amenijalia nimepata kafedha kidogo, budget ya 25mil

Nimepitia mitandaoni sana na nimegundua hilo gari pendwa yaaan Subaru forester ni moja ya magari yanayonunuliwa sana kwa hapa Tz kwa wakati huu, na pia bei yake naona iko ndani ya bajeti yangu ya 25mil...

Sasa basi,nimekuja kwenu kuomba ushauri kuhusu hili gari kabla sijafanya maamuzi ya kulinunua.... Ntashukuru sana nikipata ushauri unaolenga masuala yafuatayo;

1. Subari forester zenyewe zipo model ngapi? maana naona zingine ni XT na zingine ni XS

2. Vipi kuhusu ulaji wa mafuta? ingawa naona nyingi zina cc around 2000cc

3. Vipuli vyake je? Upatikanaji wake upoje? Bei zake ni ghali sana au affordable kwa mwananchi mwenye kipato cha wastani?

4. Performance yake kiujumla zipoje? hapa namaanisha speed, confortability, luxuries na space ya ndani?

5.Mwisho kabisa unanishauri kwa bajeti iyo ya 25mil, ni aina gani ya SUV ambayo naweza kuinunua na ikakidhi au ikaizidi kabisa Subaru Forester?

Nipende tu kutanguliza shukrani maana naamini kabisa kupitia humu JF ,mtanijuza mengi na kunifahamisha yote yale ambayo sikua nayafahamu kuhusu ili gari.

Asanteni sana
 
Napenda gari ya juu sema ni vile uwezo bado tu..

Ngoja wataalam waje!
 
Wakuu husikeni na kichwa cha habari hapo juu

Kwa muda mrefu sana nimekua na ndoto ya kumilik gari ya juu nikimaanisha SUV

Mungu amenijalia nimepata kafedha kidogo, budget ya 25mil

Nimepitia mitandaoni sana na nimegundua hilo gari pendwa yaaan Subaru forester ni moja ya magari yanayonunuliwa sana kwa hapa Tz kwa wakati huu, na pia bei yake naona iko ndani ya bajeti yangu ya 25mil...

Sasa basi,nimekuja kwenu kuomba ushauri kuhusu hili gari kabla sijafanya maamuzi ya kulinunua.... Ntashukuru sana nikipata ushauri unaolenga masuala yafuatayo;

1. Subari forester zenyewe zipo model ngapi? maana naona zingine ni XT na zingine ni XS

2. Vipi kuhusu ulaji wa mafuta? ingawa naona nyingi zina cc around 2000cc

3. Vipuli vyake je? Upatikanaji wake upoje? Bei zake ni ghali sana au affordable kwa mwananchi mwenye kipato cha wastani?

4. Performance yake kiujumla zipoje? hapa namaanisha speed, confortability, luxuries na space ya ndani?

5.Mwisho kabisa unanishauri kwa bajeti iyo ya 25mil, ni aina gani ya SUV ambayo naweza kuinunua na ikakidhi au ikaizidi kabisa Subaru Forester?

Nipende tu kutanguliza shukrani maana naamini kabisa kupitia humu JF ,mtanijuza mengi na kunifahamisha yote yale ambayo sikua nayafahamu kuhusu ili gari.

Asanteni sana

Forester Xt ..

Mi niseme hapo kwenye aina nipasemee kidogo coz zipo nyingi kwa gari moja … but iliyo bora kwangu ni moja tu ambayo ni full option …
Kwa maaana…

1. Leather sit
2. Moon Roof
3. Turbo
4. I drive .. kwa maana ina button ya kuweka option za Sports, Sports#, na I-drive ..
5. Push start..
6 ununue ya kutoka japan sio hizi za kutoka nchi nyingine kwani kwa mimi naona za japan zipo vzr zaidi kwa hali..

7. Kama unaagiza mwenyewe basi chagua iliyo katika class za juu .. usidanganyike na bei za chini .. itakucost zaidi ikifika hapa dsm.. kwa maana ya matengenezo mengi..

Kiujumla ni gari nzuri hautajutia …kama
Mpenda magari..
 
subaru forester zina edition kaka kulingana na miaka na zote n forester kuna SF edition , SG edition , SH edition na currently edition n SJG edition io umepost nahsi n SJG edition though bongo kwa sasa watu wana SH edition as current model

Na hapo hapo katika izo editions nmekutajia zina different model inayotofautiana ktk kuanzia appearance hadi perfomance na izo gari n AWD sio 4WD labda kutokana na development ya tech yaweza fika uko maana subaru cooperation wamejoin na toyota kutengemeza hybrid kulingana na soko

Upande wa perfomance iko poa sanaa swala la mafuta n kutokana na driving habit ako na issue kdgo ktk hizi current model n sterling faults commonly

Swala la spare n available mno hata uburn engine zinapatikana issue kujua watu sahihi wa kukusaidia maana zipo hadi garage special za subaru kwa hapa tz hasa dar na wajuzi wa izo gari.

#Nawakilisha
 
Forester Xt ..

Mi niseme hapo kwenye aina nipasemee kidogo coz zipo nyingi kwa gari moja … but iliyo bora kwangu ni moja tu ambayo ni full option …
Kwa maaana…

1. Leather sit
2. Moon Roof
3. Turbo
4. I drive .. kwa maana ina button ya kuweka option za Sports, Sports#, na I-drive ..
5. Push start..
6 ununue ya kutoka japan sio hizi za kutoka nchi nyingine kwani kwa mimi naona za japan zipo vzr zaidi kwa hali..

7. Kama unaagiza mwenyewe basi chagua iliyo katika class za juu .. usidanganyike na bei za chini .. itakucost zaidi ikifika hapa dsm.. kwa maana ya matengenezo mengi..

Kiujumla ni gari nzuri hautajutia …kama
Mpenda magari..
Mkuu asante sana kwa mchango wako
 
Wakuu husikeni na kichwa cha habari hapo juu

Kwa muda mrefu sana nimekua na ndoto ya kumilik gari ya juu nikimaanisha SUV

Mungu amenijalia nimepata kafedha kidogo, budget ya 25mil

Nimepitia mitandaoni sana na nimegundua hilo gari pendwa yaaan Subaru forester ni moja ya magari yanayonunuliwa sana kwa hapa Tz kwa wakati huu, na pia bei yake naona iko ndani ya bajeti yangu ya 25mil...

Sasa basi,nimekuja kwenu kuomba ushauri kuhusu hili gari kabla sijafanya maamuzi ya kulinunua.... Ntashukuru sana nikipata ushauri unaolenga masuala yafuatayo;

1. Subari forester zenyewe zipo model ngapi? maana naona zingine ni XT na zingine ni XS

2. Vipi kuhusu ulaji wa mafuta? ingawa naona nyingi zina cc around 2000cc

3. Vipuli vyake je? Upatikanaji wake upoje? Bei zake ni ghali sana au affordable kwa mwananchi mwenye kipato cha wastani?

4. Performance yake kiujumla zipoje? hapa namaanisha speed, confortability, luxuries na space ya ndani?

5.Mwisho kabisa unanishauri kwa bajeti iyo ya 25mil, ni aina gani ya SUV ambayo naweza kuinunua na ikakidhi au ikaizidi kabisa Subaru Forester?

Nipende tu kutanguliza shukrani maana naamini kabisa kupitia humu JF ,mtanijuza mengi na kunifahamisha yote yale ambayo sikua nayafahamu kuhusu ili gari.

Asanteni sana
kwanza mkuu naomba kukukosoa kdgo hmna model ya XS ktk subaru izo n joint venture za subaru na toyota subaru as subaru kuna XT kwa wepesi au lugha yetu huwa n km symbolize ya turbo car

ulaji wa mafuta n kawaida kutoka na driving habit ako

swala la spare n available sanaa even garage zake special kwa tz kwa sasa zipo ila faults kdgo ktk io gari nnayoijua hadi sasa n sterling rack

Mengneyo ktk perfomance iko vzur sanaa hasa ukiwa na turbo charged
 
Wakuu husikeni na kichwa cha habari hapo juu

Kwa muda mrefu sana nimekua na ndoto ya kumilik gari ya juu nikimaanisha SUV

Mungu amenijalia nimepata kafedha kidogo, budget ya 25mil

Nimepitia mitandaoni sana na nimegundua hilo gari pendwa yaaan Subaru forester ni moja ya magari yanayonunuliwa sana kwa hapa Tz kwa wakati huu, na pia bei yake naona iko ndani ya bajeti yangu ya 25mil...

Sasa basi,nimekuja kwenu kuomba ushauri kuhusu hili gari kabla sijafanya maamuzi ya kulinunua.... Ntashukuru sana nikipata ushauri unaolenga masuala yafuatayo;

1. Subari forester zenyewe zipo model ngapi? maana naona zingine ni XT na zingine ni XS

2. Vipi kuhusu ulaji wa mafuta? ingawa naona nyingi zina cc around 2000cc

3. Vipuli vyake je? Upatikanaji wake upoje? Bei zake ni ghali sana au affordable kwa mwananchi mwenye kipato cha wastani?

4. Performance yake kiujumla zipoje? hapa namaanisha speed, confortability, luxuries na space ya ndani?

5.Mwisho kabisa unanishauri kwa bajeti iyo ya 25mil, ni aina gani ya SUV ambayo naweza kuinunua na ikakidhi au ikaizidi kabisa Subaru Forester?

Nipende tu kutanguliza shukrani maana naamini kabisa kupitia humu JF ,mtanijuza mengi na kunifahamisha yote yale ambayo sikua nayafahamu kuhusu ili gari.

Asanteni sana

Subaru forester za SH 5 ziko aina 4 zenye engine ya 2000cc na 2500cc
1. Forester x hii haina fog lights, mziki ni wa kawaida, dash board ni full plastics na haina rear spoiler, haina alloy wheels

2. Forester Xs hii ina fog lights, rear spoiler, mziki umeboreshwa hasa speakers, na kwenye redio pale pamerembwa na bodi ya mbao, ina cruise control, alloy wheels

3. Forester Xs premium hii ina sifa zote za Xs hapo juu na kuongezeka kwa sunroof, leather seat, taa kali na interior imeboreshwa

4. Forester Xt hii ina sifa zote za Xs ila imeongezewa turbo
 
Kwenye instagram admin wa team cruiser alielezea turbo deeply na moja katika faida alizotaja ni kupunguza ulaji wa mafuta,kiasi fulani nilimuelewa ukizingatiwa ulaji wa mafuta wa 1hz ni mkubwa kuliko 1hdt.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app

1hdt iko more advanced kwenye tech ukilinganisha na 1hz. Wala siyo kwa sababu ya turbo.
 
Back
Top Bottom