Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

Kwamba ume unlock sasatel? Hii sidhani kama ni kweli, Hio ni cdma na haiwezi fanya kazi kwa mtandao wowote wa sasa, ni kama unasema umefanikiwa kufungua mfuniko wa tank la la mafuta la gari ya Diesel ukaweka Petroli na gari linatembea.
Hivi modem zina bios ndiyo kwanza nasikia toka kwake inawezekana I have outdated skills
 
Vifaa vyote vina bios mkuu, hizi modem/router ni computer kabisa zina processor, ram, storage etc sema wanaziweka kwa udogo sana. Kuna watu wana badili os zake na kuweka linux kwa baadhi ya modem/router.
Je CDMA ina maanusha nini, GSM VS CDMA, sorry I know the difference between CDMA and GSM am not closed minded and that to change dashboard it was possible for some modern, because I have done several times, but to change bios of modern ?
 
Je CDMA ina maanusha nini, GSM VS CDMA, sorry I know the difference between CDMA and GSM am not closed minded
Ukitoa hivyo virefu vyake Cdma na Gsm ni standard za mitandao ya simu.

Cdma ni standard ya marekani na makampuni yake kina Verizon, Sprint wakati huo bila kumsahau alieitengeneza Qualcomm.

Gsm ni standard ya Ulaya kina Nokia, Ericson na baadhi ya mitandao ya Japan huko.

So wakati huo walikua wanagombania wateja, kila mtu anataka Standard yake itumike dunia nzima, ndio maana hapa kwetu ukakuta Mitandao kama Zantel, TTCL, Sasatel wanatumia Cdma wakati huo na kina Voda, Tigo, Airtel wapo Gsm.

Sema mwisho wa siku Gsm akashinda na kuanzia technology ya 4G kukawa hakuna tena mambo ya Gsm na Cdma dunia nzima tu Katumia standard moja.
 
Ukitoa hivyo virefu vyake Cdma na Gsm ni standard za mitandao ya simu.

Cdma ni standard ya marekani na makampuni yake kina Verizon, Sprint wakati huo bila kumsahau alieitengeneza Qualcomm.

Gsm ni standard ya Ulaya kina Nokia, Ericson na baadhi ya mitandao ya Japan huko.

So wakati huo walikua wanagombania wateja, kila mtu anataka Standard yake itumike dunia nzima, ndio maana hapa kwetu ukakuta Mitandao kama Zantel, TTCL, Sasatel wanatumia Cdma wakati huo na kina Voda, Tigo, Airtel wapo Gsm.

Sema mwisho wa siku Gsm akashinda na kuanzia technology ya 4G kukawa hakuna tena mambo ya Gsm na Cdma dunia nzima tu Katumia standard moja.
Nazikumbuka simu za TTCL kuna watu bado wanazo tena zinawaka vizuri ukiwambia hata uki unlock huwezi kuzitumia kwa maana mitambo iliyopo Tanzania kwasasa inatumi line ya GSM hawakuelewi, zamani nilikuwa nazifyatua mimi ni fundi wa kwanza morogoro wa software na hardware, 2002 na mwenyekiti mwanzilishi wa mafundi simu morogoro
 
OVERALL TOP SOLUTION FOR MODERM: do bios programming ... program chip ya bios chip ya moderm... nimeunlock modem zote zilizoshindikanaga .. hadi zile za sasatel... had zile za voda, tigo, halotel mpya. just do this or nitafute
Umenikumbusha Sasatel, mpaka leo nina modem yao moja nyeusi. 😉😉😉😉
 
Back
Top Bottom