Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wakuu kwa dar ni duka lipi naweza kupata router kama hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikishindikana kupata Dar,dar ni duka lipi naweza kupata router kama hii?
https://www.ebay.com/itm/384071530300?hash=item596c72773c:g:1qEAAOSwM-VgZM61
Yangu imeharibika adapter yake tu,ebay inaweza kuwa shilingi ngapi?Ikishindikana kupata Dar,
Basi Ni vyema ukaagiza EBAY utapata kwa TZS. 135,150
Code:https://www.ebay.com/itm/384071530300?hash=item596c72773c:g:1qEAAOSwM-VgZM61
nenda na hiyo router na hiyo adpter iliyoharibika kariakooYangu imeharibika adapter yake tu,ebay inaweza kuwa shilingi ngapi?
Ahsante sana mkuunenda na hiyo router na hiyo adpter iliyoharibika kariakoo
mtaa uhuru na msimbazi unapata utaona jamaa wanauza remonte na adopters zipo nyingi sana una haja ya kuagiza tena GENUINE 7bu nyingi ni za mtumba huwa wanapata kutoka katika maofisi mbalimbali
Hiyo inatakiwa utoe kwa njia ya server ebay au kwenye unlocking website mbalimbaliwakuu msaada wa code ya ku unlock vodacom router
Imei: 357632060633228
ZTE: R207-Z
Inawezekana mkuu ni vyema ungeandika model tungekusaidia kama ni zile zinazodai code hazihitaji computer ila kama haidai unahitaji computer kuunlockWakuui habari,
Naomba kuuliza kama inawezekana ku unlock simu inayotumia mtandao mmoja,na niweze kutumia mtandao wowote ule,naombeni sana tafadhar mimenunua kasimu ka Tigo naona kanalazimisha niweke line ya tigo pekee yake,
mkuu naomba ujaze nyama ikiwezekana weka na hizo website hapa.Hiyo inatakiwa utoe kwa njia ya server ebay au kwenye unlocking website mbalimbali
Tumia njia hii kufungua router yako ya Halotel R6601 itumie mitandao yote Tanzania. Imejaribiwa kwenye mtandao wa Tigo, Airtel na Vodacom. Zinafanya kazi 100% Angalia hiyo videoMkuu na vip kuhusu halotel router r6601 unlock vip?
nimejaribu kla njia nakwama jamani
Nzuri kiongozi! Unaweza kutuma screenshot tafadhaliHabari Wakuu,
Msaada jinsi ya ku unlock modem model ZTE MF 671 ya Halotel, niweze kutumia laini za aina nyingine.
Tumia njia hii kufungua router yako ya Halotel R6601 itumie mitandao yote Tanzania. Imejaribiwa kwenye mtandao wa Tigo, Airtel na Vodacom. Zinafanya kazi 100% Angalia hiyo video
Jiandae kuua betri ya simu!!!Kwanini nisitumie hotspot ya simu badala yake nihangaike na modem?
Inategemea na simu au simu zote?Jiandae kuua betri ya simu!!!
Nzuri kiongozi! Unaweza kutuma screenshot tafadhali