Mada fikirishi kuhusu ndoa

Mada fikirishi kuhusu ndoa

Ndoa kweli ni kitu cha kuheshimika
makosa ni pale tunapoacha msingi unaojenga ndoa, msingi huo ni Mungu ambaye ni mwazilishi wa ndoa ili tuzae tuongezekee.
Na akaweka mambo mawili yanayowahusu wanandoa
1. MUME - Kumpenda mkewe
2. MKE - KUMTII muwewe

Kila mmoja akisimama katika nafasi yake vizuri haya tunayoyaona na kuyasikia yasingekuwepo.

Wazazi wetu wakati wanaolewa walikuwa wanalia wemgine hata vichwa kuinua hawakuweza walifunzwa na kujua wanachokiendea lakini ni tofauti sana na sasa
Umesema kweli kabisa..
 
Kama mdau alivyosema hapo juu nadhani hatujui au tumesahau majukumu yetu.. Wajibu wa wanaume hautekelezeki na pia wajibu wa wanawake
 
Vijana wakiachana na mawazo ya kupata mwenza wa kusaidiana maisha na ku-stick kutafuta mama walezi wa watoto wao taasisi itarudi ktk ubora wake.

Tafuta leo aliyeoa mama wa nyumbani na aliyeoa mfanyakazi utaelewa nachomaanisha hapa.
Labda tujue sababu inayompelekea kijana kuoa ni nini.. Umri? Familia? Au sababu nyinginezo
 
Natumai mnaendelea vyema wadau.

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.

Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.

Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.

Ni wapi haswa tunapokosea?

Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?

Nawasiliasha ndugu zangu.
Ndoa ni mpango mtakatifu tangu mwanzo, ujumbe mwema utokao kwa Mungu, yahitajika hekima kuitunza hadi kifo kiwatenganishe.

Mke sio kidude cha kujaribu miguu yako, Mume si kipaza sauti cha kupigia kelele.

Mpendane, msichokozane Amani ya Mungu iwe ndani yenu.🐒

Christ Saint
 
Mimi toka mwanzo nilikuwa nafikiria kuishi huru kama ndege wa porini,ndoa ni kujinyima uhuru
Mimi experience yangu ya udogoni ilichangia nione kama mahusiano na ndoa ni uzushi nikawa na mtazamo mbaya juu ya ndoa. Lakini jinsi nilivyoendelea kukua nimekuja kuna ndoa sio zote ni mbaya.. Na imenifanya kufikiria kwa na ndoa/familia kwa ujumla.. Natamani sana kuna familia yangu katika malezi ya pande zote
 
Ndoa ni mpango mtakatifu tangu mwanzo, ujumbe mwema utokao kwa Mungu, yahitajika hekima kuitunza hadi kifo kiwatenganishe.

Mke sio kidude cha kujaribu miguu yako, Mume si kipaza sauti cha kupigia kelele.

Mpendane, msichokozane Amani ya Mungu iwe ndani yenu.🐒

Christ Saint
Kweli..
 
Natumai mnaendelea vyema wadau.

Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu. Uzi huu unahusu sawa zima la ndoa.

Kwa miaka mingi ndoa imekuwa ni kitu cha kuheshimika au heshimana wengi wetu tunaona ndoa kama ndio msingi wa familia.

Lakini ni wapi kwa kizazi hiki tumekosea kiasi kwamba kumekuwa na maumivu mengi, malalamiko na hadi wengine kufikia uamuzi wa kuto kama kama na kuolewa. Ili hali tunaona ndoa ambayo inatengeneza familia ndio chanzo cha malezi bora kwa watoto.

Ni wapi haswa tunapokosea?

Je, ni sahihi kuendelea kuandaa kizazi cha watoto ambao wengi wao ni wanalelewa na single mother au single father?

Nawasiliasha ndugu zangu.
Tumemkataa Mungu, akatuachia tujikate na kiwembe tunacholilia.
 
Back
Top Bottom