Mada maalum inayomuhusu Cha mdeko vs Mr Tunguli

Mada maalum inayomuhusu Cha mdeko vs Mr Tunguli

Zinatoshaaaa sana[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Kesho nitalewaaa bia mpaka basiii
Hahaha sio bia tu hata vyengine utalewa pembeni akiwepo Mr Tunguli ndo usiseme.
 
Kwanza niwape pongezi kwa kuwa wavumilivu kwenye uchumba wenu na kumaliza harusi yenu salama.
Lingine nilishindwa kupata wasaa wa kuhudhuria kwenye shughuli hiyo nawaomba radhi kwa hilo.
Na la mwisho nawalika Mr's vs Mr kesho tuonane maeneo yetu ya Mabibo.

Kwa kuwa harusi ilinipita sina budi kuwaandalia kasherehe kadogo kwa ajili yenu wakiwemo na wengine ambao watapata wasaa wabkuhudhuria kwenye kasherehe hako.
Nisingependa watu wafuatao wakose kuja kwenye dhima hii.

  • Daby - wewe utakua mc wetu.
  • Ushimen - kamati ya vinywaji.
  • Bujibuji - vyakula.
  • Curious gal - Kwenye mapambo.
  • The list - utakua unaangalia wanaotaka kuharibu sherehe hiyo.

Hao niliowataja ni wawakilishi tu ila kuna wengi ambao sijawataja lakini wamo kwenye sherehe yetu.
Niwatakia wikiend njema.
giphy.gif
 
Back
Top Bottom