Mada maalum kwa wachoraji, sanaa ya picha na rangi

I hope usha kuwa mtakatifu na huna dhambi kabisa.

Walikuharibia future hao wahafidhina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mazingira yalikuwa magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikitaka niulize, ni Obed wa Mwanza! Huyu jomba ni hatari kupita maelezo. Kachora sana Salon za Mwanza miaka ya 90, na anavyoanza ka masikhara tu, ndo anamaliza hivyo
Yah ni Obed mwenyewe huyo. Kwa sasa nadhani yuko busy na kitabu huku akiendelea na kazi ya uchoraji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…