Gentleman96
JF-Expert Member
- Mar 12, 2019
- 912
- 1,670
- Thread starter
-
- #661
View attachment 1400827
Hivi ni sehemu gani naweza kuprint canvas art kama hii .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakulipwa
Ni kama fundi maikoHakulipwa
Kazi nzuri Sana..!Njoo @dominicmalisawa pale insta View attachment 1285942
😂 😂 😂Mo sarah
ni wazo zuri sana mkuuMimi nitoe ombi moja,tena kwa moyo mkunjufu,
Tutumie kurasa hii km sehemu ya kupanuana kuinuana na kuoneshana njia siyo sehemu ya kubishana na kujivuna na kuonesheana umaarufu,
Humu kuna vijana wadogo wanahitaji kufika juu zaidi hata ya tulipo,yafaa tuwaoneshe UHALISIA na njia halisi ya sanaa hii kupitia mazingira na vifaa halisi vinavyopatikana mitaani kwetu,
Kumuonesha mtoto anaejifunza kitu ambacho hata mtaani hakipati ni kumkatisha tamaa na kumvunja moyo,
Tuwaambie kuna picha edited,kuna apps za kuchora na kutengeneza picha,kuna picha halisi za mkono mtupu na rangi ama sketch ya penseli tu,tena penseli hizi hizi za kichina,
Tukiwaambia kuna penseli maalumu ama rangi maalumu ama chochote maalumu ambacho mtaani hakipo tunaua vipaji vyao,km mtaani kiuhalisia tunachora kwa matope,tunachora kwa manyoya ya punda tuwaambie na kuwaonesha,wakivuka hapo watajiongeza kutafuta vifaa ama mbinu za zaidi ya hapo,
A to B siyo A kisha Z
Tuwaoneshe kazi halisi zetu za mikono
Tuwaoneshe njia na changamoto,
Tutakuwa tumetenda haki,na tutakuwa tumerudisha shukrani kwa Mungu aliyetutunuku vipawa hivi,
Mods wekeni hii comment juu kabisaMimi nitoe ombi moja,tena kwa moyo mkunjufu,
Tutumie kurasa hii km sehemu ya kupanuana kuinuana na kuoneshana njia siyo sehemu ya kubishana na kujivuna na kuonesheana umaarufu,
Humu kuna vijana wadogo wanahitaji kufika juu zaidi hata ya tulipo,yafaa tuwaoneshe UHALISIA na njia halisi ya sanaa hii kupitia mazingira na vifaa halisi vinavyopatikana mitaani kwetu,
Kumuonesha mtoto anaejifunza kitu ambacho hata mtaani hakipati ni kumkatisha tamaa na kumvunja moyo,
Tuwaambie kuna picha edited,kuna apps za kuchora na kutengeneza picha,kuna picha halisi za mkono mtupu na rangi ama sketch ya penseli tu,tena penseli hizi hizi za kichina,
Tukiwaambia kuna penseli maalumu ama rangi maalumu ama chochote maalumu ambacho mtaani hakipo tunaua vipaji vyao,km mtaani kiuhalisia tunachora kwa matope,tunachora kwa manyoya ya punda tuwaambie na kuwaonesha,wakivuka hapo watajiongeza kutafuta vifaa ama mbinu za zaidi ya hapo,
A to B siyo A kisha Z
Tuwaoneshe kazi halisi zetu za mikono
Tuwaoneshe njia na changamoto,
Tutakuwa tumetenda haki,na tutakuwa tumerudisha shukrani kwa Mungu aliyetutunuku vipawa hivi,
Huyu Obed ni balaa aisee.Tanzania kuna watu wana mabalaa yao kwenye sanaa ya uchoraji. Huyu jamaa ni mtu mwingine kwenye uchoraji. Heko kwako Obed. View attachment 1117240View attachment 1117241View attachment 1117242View attachment 1117243View attachment 1117244View attachment 1117245View attachment 1117246View attachment 1117247View attachment 1117248View attachment 1117249View attachment 1117251View attachment 1117253View attachment 1117254View attachment 1117255View attachment 1117256
Magic in handsHuyu Obed ni balaa aisee.
Huyu aanze mafunzo ya uchoraji professional..
Hebu nipe ndio ipi hio?Huyu aanze mafunzo ya uchoraji professional..
Talent yake ni kubwa sana
Iko hivi wachoraji huwa wanahudhuria darasa kama tution kabisa.Hebu nipe ndio ipi hio?
Ok.Iko hivi wachoraji huwa wanahudhuria darasa kama tution kabisa.
Mfano dar es Salaam kuna sehem panaitwa mwembeyanga..!
Kuna Organisation inaitwa FASDO (check Instagram yao)
Wanatoa mafunzo bure mara tatu kwa week.
Atafundishwa A to Z kuhusu uchoraji...!
Jinsi ya kutumia aina mbali mbali za penseli (sio zile za kawaida)
Hiyo penseli inachora hadi unadhan ni picha za camera..!
....
Kama ambavo naona ni mtoto bado pengine ratiba itakua ngumu
Shule muhimu!Ok.
Yeye yupo shule anaanza advance sasa....muda itakua issue inabidi mpk kumaliza.
Nina nia hasa ya kumuendeleza
Ilipatikana?View attachment 1400827
Hivi ni sehemu gani naweza kuprint canvas art kama hii .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ilipatikana?
Duuuh watu wana vipaji
Sasa kuna jamaa kutoka Senegal au Nigeria ni noma... anachora ups and downs na picha inatoka saaafiDuuuh watu wana vipaji