kidi kudi
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,450
- 2,013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehem ipo mwembe yangaNikiwa bado mdogo primary na mwanzoni mwa maisha ya sekondari uchoraji ndo ilikua hobby yangu, nilianza taratibu kuacha kuchora na mpaka sasa nimeshakuwa mzito. Natamani sana ningepata mahali wanapotoa mafunzo ya uchoraji ili angalau niamshe kipaji changu kilichozima
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sisi tuliopo nje ya darisalam tunapata taabu sana[emoji3] [emoji3]
Aiseee,,huu ni ubunifu wa hali ya juu,,ingekua ndo kibongo mzazi akute mtoto anafanya hiki lazima uchezee mbata!View attachment 1059062
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ilikuwa picha bora ya kuchora mwaka jana nadhani.View attachment 1055498
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kuwa na kipaji hicjo mbona ni ajab[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huyu bwege nilisoma mahali ameshinda sababu picha uki zoom unaona mpaka pamba za nyuzi iliyofumia sweta.
Kweli hizi kazi za watu,duh.
Kuna mahali pameharibu mada yako. Vinginevyo hongera kwa uchoraji. Halafu huyo jamaa mwenye miwani no mambo ya Photoshop uneamua kutuchanganyia au Ni mkono na pencil?
New monalisa?
Hivi michoro ya kina da vinch inayosifika Ni ipi? Mbona sioni upekee was hiyo michoro yao? Maana vijana wa Sasa wanachora balaa
Msaada wakuu anaejua kuchora kwa computer au Kuna Mtu unamfahamu mnisaidie tafadhali.
Ok!Kama Kuna Mtu unamfahamu niunganishe Mkuu.Kompyuta hii, nilikuwa nachora watu nikiwa mdogo nikaja kuacha nikajikuta nadeal sana na kuchora imaginary landscape, vitu, logo, maandishi nk. Watu sijachora muda [emoji58][emoji58]View attachment 1059955
Sent by anonymous user