Mada maalum kwa wanandoa

[emoji23][emoji23] unajua imefika hatua had wazaz wanasema labda ss hv utaamka...mahakamn wamemchambaaa...chamba balaaa wakasema hv ww unaish na mke au?khaa bwana wee shunie
Ebu rudisha moyo nyuma waangalie watoto hivi utapenda waje kulelewa na mwanamke mwenzio

Huyo mwanaume ameshajifunza sana atabadilika mpenzi bora huyo uliyemzoea na makorokoro yake kuliko uje kuanza na mtu mpya mpaka mzoeane sio leo

Mngekuwa hamjazaa ningekwambia hayo maamuzi ni sawa lakini watoto mane ebu wahurumie tu kidogo kama mama yao
 


yaan km kubug nitabug maishan eti kuolewa tena😂😂ili nigundue nn...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…