Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Umesahau ujueKhaaaa
Hivi kweli nikuwe na kibendi nikuambieee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau ujueKhaaaa
Hivi kweli nikuwe na kibendi nikuambieee
Mi sipashi napika kitu freshUnatamani ungekuwa wewe mzee wa kupasha kiporo
Daah hizi ndoa banaSasa hapo kwenye ugomvi unadhani hawaathiriki kisaikolojia?!
Kuna mtoto kajinyonga sababu ya maugomvi ya baba na mama! Sasa lipi bora?!
Watoto wanakuwa wakiwa na chuki mioyoni mwao sababu ya kushuhudia ugomvi wa mara kwa mara! Unadhani wao hawajui?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana naona unatamani siku usikie nimeacha ufanye sherehe
Dada akirudi kila kitu kitabadilika ujueMiaka yote wameshindwa saivi ndo watoto waweke karibu. Hivi ulishawahi kukaa siku moja bila amani?!
Mshipa wa watu eenh
Hakuna ugonjwa mbaya kama kuishi bila furaha na amani!Hawajui hilo hakuna kitu kigumu kama kuachana bwana
Ha haaa hebu niache mie
Ebu uko
Teh[emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningetoa mshahara wangu woote fungu la kumi aki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana naona unatamani siku usikie nimeacha ufanye sherehe
Kwendraaaaaaa
Kunywa kidogo zikuliwazemimi ndo sitak ht kuzigusa[emoji23][emoji23]nimekaa nazo mbali kbs
Pole my dearnimekonda..nimeisha...najiona sio mm...alafu dah...nimejifungia tu yAn
Hahaha hahaha hahahaUmesahau ujue
ngoja nile..ndo nakula toka jana hapa😣Mkuu nidokeze kidogo nini kilikutokea huko?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwahiyo we unakubali waachane mama anguHakuna ugonjwa mbaya kama kuishi bila furaha na amani!
Kuna kusameheana na kuvumilia lakini isiwe ni upande mmoja unaumia! We unasema hivyo lakinii ukweli unaujua