Mada maalum kwa wanandoa

Ningetoa mshahara wangu woote fungu la kumi aki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nacheka mm
 

So unamaanisha watarget mmoja kama vile simba akiwa anawinda swala mmoja kwenye kundi la swala?[emoji16][emoji16][emoji16]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna kitu kibaya kama watoto kuona baba na mama wanishi kwa ugomvi
Wakati mwingine inawasaidia watoto kukua wakijifunza tabia mbaya na nzuri kwa wazazi. Mf mm baba yangu alikuwa mkorofi sana kwa mama na hata watoto, sikuhiz na uzee wake hataki hata kusikia mkimkumbusha ubabe wake na hapendi kukumbuka. Ila sisi watoto wake tumejifunza sana kwa yale maisha ndo maana hata wake zetu watuwapigi ingawa wanatuogopa kwa kusikiliza historia ya mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo we unakubali waachane mama angu
Aangalie moyo wake unataka nini, kama ni kuumia sababu ya watoto sawa! Yeye ni mtu mzima ujue, halafu asali na kufunga! Hawa wanaume saingine sio wao ni maroho tuu
 
Mkuu wako nani wewe ebu uko na ukuu wako
Hahaha hahaha hahaha
Naona hilo limekuingia! Sasa nijibu, wewe mwenyewe mie sio mumeo ila nikiuchuna siku moja unahaha kama niniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…