Lakini mlikuwa mnaumia sio?!Wakati mwingine inawasaidia watoto kukua wakijifunza tabia mbaya na nzuri kwa wazazi. Mf mm baba yangu alikuwa mkorofi sana kwa mama na hata watoto, sikuhiz na uzee wake hataki hata kusikia mkimkumbusha ubabe wake na hapendi kukumbuka. Ila sisi watoto wake tumejifunza sana kwa yale maisha ndo maana hata wake zetu watuwapigi ingawa wanatuogopa kwa kusikiliza historia ya mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andaa siku
Sana but imetufundisha kitu, unajua maisha ya 80s, 90s wanaume wengi walikuwa wababe kwa wake zao kutokan na mambo ya mila na tamaduni, ila zile hasira tunazo sometimes nikikunja sura wife analia mwenyewe tu bila kupigwa.Lakini mlikuwa mnaumia sio?!
Ujue furaha na amani vitakuja tu after sometime wakikaa under same roof, hivi walivyo ndo hawana kabisa furaha na amaniHakuna ugonjwa mbaya kama kuishi bila furaha na amani!
Kuna kusameheana na kuvumilia lakini isiwe ni upande mmoja unaumia! We unasema hivyo lakinii ukweli unaujua
Hilo nalo ni tatizo!Sana but imetufundisha kitu, unajua maisha ya 80s, 90s wanaume wengi walikuwa wababe kwa wake zao kutokan na mambo ya mila na tamaduni, ila zile hasira tunazo sometimes nikikunja sura wife analia mwenyewe tu bila kupigwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukitaka umalize shida zooote ndio uspendi inawezekana kweli? witnessj tukubaliane tu wengi wetu na hata wewe sometime (na inawezekana most of the time) unajitoa ufahamu na kuspendi hata kama gari inahitaji matairi. life is too short...
Hili tatizo lako linatokana na kumdekeza mkeoMimi kabla ya kuoa nilikuwa mtu wa out sana, so mwenzangu hakuwa kivile sana kwenye ishu za out, nikaona huyu atanifaa mana atanidhibiti kama si kunipunguzia ishu za out, we balaa lake baada ya yeye kuchoma ndani, yani siyo udhibiti ule wa speed governor ni hakuna tena ishu za out (mwaka sasa labda nidanganye safari ya kikazi), eti anasema ukisikia hamu ya kwenda out ingia jf mana hiyo ndiyo imekuteka akili.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaa acha kabisa.Zakuambiwa changanya na zako, waweza kutu outsmart wote na ukaibuka kinara wa ishu za ndoa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole my dear
Lipi hilo lisomalizika eti
asante sanaPole sana mamii, tulioko ndoani tunakuelewa sana, ila ni mapito tu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo wana nini witty [emoji28][emoji28][emoji28]
Ooh maskini manengelongoja nile..ndo nakula toka jana hapa[emoji21]
Hiyo same roof wamekaa miaka ngapi na wameshindwa kuitengeneza hiyo amani na furaha?!Ujue furaha na amani vitakuja tu after sometime wakikaa under same roof, hivi walivyo ndo hawana kabisa furaha na amani
Bidada unamsikia mwenyewe anavoeleza hali yake, na anavoeleza hali ya mumewe.
Btw, wataalam wa mambo ya mahusiano wanakwambia, wanandoa wote walioachana, ni 2% ndo walipata furaha baada ya kuachana, the rest ni majanga plus stress all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshasema hana imani na maombi nimemsoma huko juu maombi gani yatafanya kazi hana imani nayo ajilewee tuuuUnamponza mwenzio, akiamka mawazo yapo pale pale!
Dadangu Mane, hili lahitaji maombi tuu
Kwa kizuri gani eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unakuwa mkali tena hupendi vitu vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukwendreeee bwana
Pole Sana, nimapito tu, soon utakuwa okayhv ndo naingia bed nijaribu kulala..had kichwa kinauma😂😂 ...!
Tatizo ndoa za leo, watu wakishaoana ndo wanaanza kuchunguzana tabia, vijana watabaki bila furaha, Mwanamke anataka maisha yale ya kupelekwa kula mishikaki na chips yawe ya kila uchwao, mwanaume nae anataka awe na amri kwa mkewe,Ujue furaha na amani vitakuja tu after sometime wakikaa under same roof, hivi walivyo ndo hawana kabisa furaha na amani
Bidada unamsikia mwenyewe anavoeleza hali yake, na anavoeleza hali ya mumewe.
Btw, wataalam wa mambo ya mahusiano wanakwambia, wanandoa wote walioachana, ni 2% ndo walipata furaha baada ya kuachana, the rest ni majanga plus stress all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha hahaha hahaha
Naona hilo limekuingia! Sasa nijibu, wewe mwenyewe mie sio mumeo ila nikiuchuna siku moja unahaha kama niniii