Mada maalum kwa wanandoa

So unamaanisha watarget mmoja kama vile simba akiwa anawinda swala mmoja kwenye kundi la swala?[emoji16][emoji16][emoji16]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahah yah mkuu!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
hahaaa, safi sana hapo mwisho sasa ulivomalizia vinini vinasemezana duuh wewe ni Babu kijanaaa
 
Kuna wanawake hata ukiongea na ukamtia vibao hasikii kuna wanawake walilelewa hovyo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaaa, safi sana hapo mwisho sasa ulivomalizia vinini vinasemezana duuh wewe ni Babu kijanaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Nimeandikaje eti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ambao hamjaingia kwenye ndoa sasa hivi unamwambia mito upo mwaka wa 10 kwenye ndoa mito atakuwa amecheka sana
 
Huyo shetani mshindeni jamani ebu badilika kuanzia sasa ebu kuwa na sauti utaona atakavyokuwa mpole simama kama mwanaume
 

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yaan siku fqmilia yangu wakisikia nimerudi๐Ÿค”...wamechukia ww kuliko mm nilivyochukia..dingi alisema wakikuzengua mahakaman weka mwanasheria๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ht kesi yenyew haikifika mahakamn...nimeficha sijawaambia kuwa tumeishia kwa mpelrlzi tu...!yaan kifupi wanajua mm ndo sirudi tena..naogopa ht kuona simu zao...hv wanataka nirudi nyumban nijipange upyaaa...naogopa kuwapa mrejesho..hapa laana nainusa kwao๐Ÿ‘Ž๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข..!huyu wangu hawez badilika ndo tabia yake tu yaan...yaan akiona sehem napata kahela anaenda kulianzisha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚alafu hapo hapo anakuambia nikope bas ht laki 1๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Ž๐Ÿ‘Ž๐Ÿ‘Ž..babu ww ninechoka...nataka nijioe mwenyew nijitunze mwenyewe...mie nimeoa sijaolewa...nimejichokea..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Ambao hamjaingia kwenye ndoa sasa hivi unamwambia mito upo mwaka wa 10 kwenye ndoa mito atakuwa amecheka sana
Hebu hukooo

Halafu meshtukaa, haiwezekani kila mtu anaiponda ndoa humu! Msinitishee nawolewaa na nitaishi kwa amani na furaha kwa jina la Yesu.... Mnataka mpate mautamu nyie tuu eeehh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ