[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan siku fqmilia yangu wakisikia nimerudi[emoji848]...wamechukia ww kuliko mm nilivyochukia..dingi alisema wakikuzengua mahakaman weka mwanasheria[emoji23][emoji23]ht kesi yenyew haikifika mahakamn...nimeficha sijawaambia kuwa tumeishia kwa mpelrlzi tu...!yaan kifupi wanajua mm ndo sirudi tena..naogopa ht kuona simu zao...hv wanataka nirudi nyumban nijipange upyaaa...naogopa kuwapa mrejesho..hapa laana nainusa kwao[emoji107][emoji22][emoji22][emoji22]..!huyu wangu hawez badilika ndo tabia yake tu yaan...yaan akiona sehem napata kahela anaenda kulianzisha[emoji23][emoji23]alafu hapo hapo anakuambia nikope bas ht laki 1[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji107][emoji107][emoji107]..babu ww ninechoka...nataka nijioe mwenyew nijitunze mwenyewe...mie nimeoa sijaolewa...nimejichokea..