Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Halafu na wewe unakosea sio kila ukigombana na mme wako unawaambia ndugu zako jamani unakosea sana mwisho wa siku wanamchukia tu kama hivyo
unadhan nimeanza kuwaambi muda bas yalinifikia hapa..mwaka 2017 ndo nikaanza waambia...wakawa hawaamini kbs..mwaka huo huo wakamwita akakiri atabadilika..hajabadilika..ukiwapelekea kesi kwao hakuna ht kumwita..wapo tu..sijakosea shunie...maisha yangu ww ht ww usingeweza kuishi na huyu..ht mamangu mzaz asingeweza kbs..ni mtu ambay hajali kbs...yaan walaaa...anajua huyu amejitosheleza..yaam sijui nikuambiaje..yaan yule ht utokee msiba hajigusi kuchanga..yupo tu yaan mshahara wake haurlewk unaenda wap...ht niugue vip walaa...anakuangalia tu😂😂...yaan mm nisipochakarika ndo nyumba inakosa dirwction...yaan ni yule wa kuamka na kuoga na kuondoka..ada tunashea..i meana na mm alisema nisomeshe m1😂😂mshahara wake yy naingia mm mara 6..hajui manengelo ni wife ana mahtj yake...hajigusi kwa lolote lile..yaan zezeta hafiki kwake..yy ni pombr tu..hana ht mawazo ya kutagta kabiashara mwenzako...
mm nikifungua kabiashara atakupa bigup kibao..akianza kuona kanasimama anaanza choko choko...akutafute tu akakufungie..juzi kaulizwa eti mkeo anachosrma hujawah mpa ht laki 1 ni kweli?akasema huo ni udhaifu wangu..nitajitekebisha..yaan ni yy na wanae tu...ss iba simu yake uone mpesa kqa mamake huko ..mara laki 5..tena anakiambia kns mama amenionbq laki 5 dah..sina..anakiambia nitagtie mkopo..yaan yuko radhi ampe mamake laki 5 za kukopa shoga...amejaa maden tu..namanisha madeni...ss mm wakaz gan huyo?mbinafs kufa...ni ndoa ya kutegeana..akiona luku imekata anakuambia nunua nitakirefund end of month yaan yy kila kitu anakuanbai fanya nitakulipa mshahara ukitoka..!jaman si bora nikakaa alone...?inafikia kipindi unakosa kns hisia naye..yaan unajiuliza maswali hayana majibu
 
unadhan nimeanza kuwaambi muda bas yalinifikia hapa..mwaka 2017 ndo nikaanza waambia...wakawa hawaamini kbs..mwaka huo huo wakamwita akakiri atabadilika..hajabadilika..ukiwapelekea kesi kwao hakuna ht kumwita..wapo tu..sijakosea shunie...maisha yangu ww ht ww usingeweza kuishi na huyu..ht mamangu mzaz asingeweza kbs..ni mtu ambay hajali kbs...yaan walaaa...anajua huyu amejitosheleza..yaam sijui nikuambiaje..yaan yule ht utokee msiba hajigusi kuchanga..yupo tu yaan mshahara wake haurlewk unaenda wap...ht niugue vip walaa...anakuangalia tu[emoji23][emoji23]...yaan mm nisipochakarika ndo nyumba inakosa dirwction...yaan ni yule wa kuamka na kuoga na kuondoka..ada tunashea..i meana na mm alisema nisomeshe m1[emoji23][emoji23]mshahara wake yy naingia mm mara 6..hajui manengelo ni wife ana mahtj yake...hajigusi kwa lolote lile..yaan zezeta hafiki kwake..yy ni pombr tu..hana ht mawazo ya kutagta kabiashara mwenzako...
mm nikifungua kabiashara atakupa bigup kibao..akianza kuona kanasimama anaanza choko choko...akutafute tu akakufungie..juzi kaulizwa eti mkeo anachosrma hujawah mpa ht laki 1 ni kweli?akasema huo ni udhaifu wangu..nitajitekebisha..yaan ni yy na wanae tu...ss iba simu yake uone mpesa kqa mamake huko ..mara laki 5..tena anakiambia kns mama amenionbq laki 5 dah..sina..anakiambia nitagtie mkopo..yaan yuko radhi ampe mamake laki 5 za kukopa shoga...amejaa maden tu..namanisha madeni...ss mm wakaz gan huyo?mbinafs kufa...ni ndoa ya kutegeana..akiona luku imekata anakuambia nunua nitakirefund end of month yaan yy kila kitu anakuanbai fanya nitakulipa mshahara ukitoka..!jaman si bora nikakaa alone...?inafikia kipindi unakosa kns hisia naye..yaan unajiuliza maswali hayana majibu
Mh
 
Akhaaa ya kwangu napambana nayo mm mwenyewe yakinizidi nitakuja kwako kukulilia nataka kwenda msumbiji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wewe si huwa unanijibu nani kanidanganya mfyuuuuuu
Hahaha hahaha hahaha
Hivi wewe kwenu msumbiji au kuna mtu anakudanganya eti!
Halafu leo nashangaa unasema mambo ya kubaki wakati kuna muda unawaza kwenda msumbiji...
Mie nawolewaa nitakimbilia Kongo
 
Hahaha hahaha hahaha
Hivi wewe kwenu msumbiji au kuna mtu anakudanganya eti!
Halafu leo nashangaa unasema mambo ya kubaki wakati kuna muda unawaza kwenda msumbiji...
Mie nawolewaa nitakimbilia Kongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] hahah msumbiji kunanipa ujeuri kwa sababu ya dogo anaishi kule halafu najua naenda mbali kunipata sio rahisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] hahah msumbiji kunanipa ujeuri kwa sababu ya dogo anaishi kule halafu najua naenda mbali kunipata sio rahisi
Hahaha hahaha hahaha hahaha
Hebu vumilia huko, na umpende mumeo... Msumbiji my foot
 
Jitahidi usifanye maamuzi yatakayo haribu future ya watoto. Samehe mlee watoto na mumeo. USIJE THUBUTU KUFUATA USHAURI AU KUTAMANI MAISHA YA WALIOFELI MAISHA KAMA AKINA kasie NA MBAYA ZAIDI WANATUMIA MBINU YA USHAWISHI KUWAPOTOSHA WENGINE. Be careful na watu type hiyo.
😂😂😂kwamba kasie amefeli maisha..tuna stereotype ya ajabu sana...bas mm pia mzaz wangu aliniambia hv!:
manengelo sio ww wakwnza kuondoka ndoani..inawezekana kbs ukikaa alone utafanya mambo ya maana..mradi akili yako iwe smart..be smart..acha mawazo ya kuolewa tena...simama ww km ww..acha anasa..utapig hatua kubwa sana..nTak niyaishi hayo
 
Back
Top Bottom