Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Yani hapa espy atakuwa amekuelewa kupita maelezo
C.c @nalendwa
😂😂 yaan hyaa mambo bwana..ila ni malezi..ubinafsi unaanzia huko chini kbs..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hapa espy atakuwa amekuelewa kupita maelezo
C.c @nalendwa
Sio sielewi nilikuwa sijui kuna mazito zaidiWe cheka tuu dadake mimi. Hakuna mtu anyejua kuvumilia kama mwanamke! Ukiona kaamua kuondoka jua amefika mwisho kabisaaa! Sasa mama muinjili haelewi hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama muinjili kawa bubu ghaflaMaana alikuwa anasubiria kwa hamu uongee, kashangaa mama muinjili kakosa la kuongea
Hahhaha ebu nijibie wewe si unanijua vizuri mmHahaha hahaha
Na umekosa kabisaaa! Sasa wewe utavumiilia mama muinjili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana alikuwa anasubiria kwa hamu uongee, kashangaa mama muinjili kakosa la kuongea
Niuzie hebuSasa jee pete za nn tena nimekuwa single lady
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mecheka mm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saivi ungekuwa msumbijiHahhaha ebu nijibie wewe si unanijua vizuri mm
Ungeniambia nikuuzie pale gari lilivyowaka nataka kwenda msumbijiNiuzie hebu
Mimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)We cheka tuu dadake mimi. Hakuna mtu anyejua kuvumilia kama mwanamke! Ukiona kaamua kuondoka jua amefika mwisho kabisaaa! Sasa mama muinjili haelewi hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saivi ungekuwa msumbiji
Kweli kabisa mama mchungajiMimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)
And trust me, mtu kama hajaamua kuondoka, hata aje nani amshauri, haondoki ng'oo. Ila siku yakimfika hapa, hatokumbuka hata kuomba ushauri, mtamkuta kabeba tu zubeda lake kasepa. Uvumilivu una kikomo.......
OK, timiza haja ya moyo wako😂😂😂kwamba kasie amefeli maisha..tuna stereotype ya ajabu sana...bas mm pia mzaz wangu aliniambia hv!:
manengelo sio ww wakwnza kuondoka ndoani..inawezekana kbs ukikaa alone utafanya mambo ya maana..mradi akili yako iwe smart..be smart..acha mawazo ya kuolewa tena...simama ww km ww..acha anasa..utapig hatua kubwa sana..nTak niyaishi hayo
Ngoja nikusanye hela... Najua kitawaka soonUngeniambia nikuuzie pale gari lilivyowaka nataka kwenda msumbiji
Yes, hiyo ni tabia yake toka kitambo. Maybe hukuichukulia maanani ndo kushtuka imeshakomaa na ndo mpo ndoani na inakucost[emoji23][emoji23] yaan hyaa mambo bwana..ila ni malezi..ubinafsi unaanzia huko chini kbs..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe uache kuniombea mema unaniombea kiwake hivi kweli unanipenda weweNgoja nikusanye hela... Najua kitawaka soon
Agiza supu hapo dadangu...Mimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)
And trust me, mtu kama hajaamua kuondoka, hata aje nani amshauri, haondoki ng'oo. Ila siku yakimfika hapa, hatokumbuka hata kuomba ushauri, mtamkuta kabeba tu zubeda lake kasepa. Uvumilivu una kikomo.......