Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

We cheka tuu dadake mimi. Hakuna mtu anyejua kuvumilia kama mwanamke! Ukiona kaamua kuondoka jua amefika mwisho kabisaaa! Sasa mama muinjili haelewi hilo
Mimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)

And trust me, mtu kama hajaamua kuondoka, hata aje nani amshauri, haondoki ng'oo. Ila siku yakimfika hapa, hatokumbuka hata kuomba ushauri, mtamkuta kabeba tu zubeda lake kasepa. Uvumilivu una kikomo.......
 
Saivi ungekuwa msumbiji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)

And trust me, mtu kama hajaamua kuondoka, hata aje nani amshauri, haondoki ng'oo. Ila siku yakimfika hapa, hatokumbuka hata kuomba ushauri, mtamkuta kabeba tu zubeda lake kasepa. Uvumilivu una kikomo.......
Kweli kabisa mama mchungaji
 
😂😂😂kwamba kasie amefeli maisha..tuna stereotype ya ajabu sana...bas mm pia mzaz wangu aliniambia hv!:
manengelo sio ww wakwnza kuondoka ndoani..inawezekana kbs ukikaa alone utafanya mambo ya maana..mradi akili yako iwe smart..be smart..acha mawazo ya kuolewa tena...simama ww km ww..acha anasa..utapig hatua kubwa sana..nTak niyaishi hayo
OK, timiza haja ya moyo wako
 
Mimi naelewa mpenzi. Kuvumilia ni rahisi kuliko kuondoka. Jamani kuondoka si kazi ndogo; hadi mtu athubutu kutoka me huwa namuheshimu sana. (Mwenye sababu ya msingi ya kuondoka, sio mtu anajifanya kuondoka kisa upumbavu wake)

And trust me, mtu kama hajaamua kuondoka, hata aje nani amshauri, haondoki ng'oo. Ila siku yakimfika hapa, hatokumbuka hata kuomba ushauri, mtamkuta kabeba tu zubeda lake kasepa. Uvumilivu una kikomo.......
Agiza supu hapo dadangu...
Uvumilivu una kikomo!
Shunie mito
 
Back
Top Bottom