Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Jamani mane

😂😂😂 nilishindwa kukujibu siku ile pm coz ulichoandika ndo nilochokipata..dadek..3wks nw nipo kitaa😂😂😂..naumiaa naliaa...nimemuona kaishaaa amechakaaaa...analia tu mahaman nabaki kugugumia😑😑😢😢😢..hapana mamy nakaa kando..
alafu kumbe kuachana ni kugumj hvyo jaman😂😂😂..nimegonga kuta jaman..had kukaa kando kwa muda walikataa...ujuha huu..unanilazimisha nirudi kwangu unajua napitia yapi😢... !
 
Em usiongee sana hapa mane, ukipata kamuda uje tu pm tubonge. Kuachana sio rahisi kama tunavyoandika humu.

[emoji23][emoji23][emoji23] nilishindwa kukujibu siku ile pm coz ulichoandika ndo nilochokipata..dadek..3wks nw nipo kitaa[emoji23][emoji23][emoji23]..naumiaa naliaa...nimemuona kaishaaa amechakaaaa...analia tu mahaman nabaki kugugumia[emoji58][emoji58][emoji22][emoji22][emoji22]..hapana mamy nakaa kando..
alafu kumbe kuachana ni kugumj hvyo jaman[emoji23][emoji23][emoji23]..nimegonga kuta jaman..had kukaa kando kwa muda walikataa...ujuha huu..unanilazimisha nirudi kwangu unajua napitia yapi[emoji22]... !
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilishindwa kukujibu siku ile pm coz ulichoandika ndo nilochokipata..dadek..3wks nw nipo kitaa[emoji23][emoji23][emoji23]..naumiaa naliaa...nimemuona kaishaaa amechakaaaa...analia tu mahaman nabaki kugugumia[emoji58][emoji58][emoji22][emoji22][emoji22]..hapana mamy nakaa kando..
alafu kumbe kuachana ni kugumj hvyo jaman[emoji23][emoji23][emoji23]..nimegonga kuta jaman..had kukaa kando kwa muda walikataa...ujuha huu..unanilazimisha nirudi kwangu unajua napitia yapi[emoji22]... !
We utaweza kweli jembe langu? Si kwa huruma hiyo uliyonayo [emoji23]. Nakuelewa lakini mane wangu
 
We utaweza kweli jembe langu? Si kwa huruma hiyo uliyonayo [emoji23]. Nakuelewa lakini mane wangu


demi jana sijalala..hahaa had saa6 ananitxt..anatia huruma...anaomba msamaha tu...anapiga simu ila sirudi demi...sema watoto wananifanya nilie kweli kweli..😂😂nikitoboa nitakupitisha nilipopita😂😂..shoga kuna ugumu..alafu naambiwa eti ww hyo age huez kaa alone lazima utaolewa tena😑😑😑napata kichefuchefu
 
[emoji4]
FB_IMG_15473423891583111.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom