Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alafu hii huwa naisikia kwa wsnawake wengi waloolewa na wanaume ambao hawakuwalilia shida.
My dear mievnina shida hadi kwenye kope hivyo silazi damu.
Ndio hivyo, we jitie tu wife material ukakopwe ndoani ndio utafurahi. Jitu halijiongezi umetulia nalo tu[emoji134][emoji134][emoji134]Sema kweeli jamanii
Kwakweli, hadi yanikute ya kunikuta. Nitakaa chini nichekeeee na kulia juu.Hatuogopiiii
Yewiiii eeeehhh....Ndio hivyo, we jitie tu wife material ukakopwe ndoani ndio utafurahi. Jitu halijiongezibumetulia nayo tu[emoji134][emoji134][emoji134]
Jiandae kwa makuu yakustajabisha.
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaKwakweli, hadi yanikute ya kunikuta. Nitakaa chini nichekeeee na kulia juu.
Ndio ukimuendekeza mwisho anatumia mabavu, mie akuuuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujua[emoji23][emoji23][emoji23]..mm nimechoka..nw natambua haki zangu ss ndo anTumia misuli yake kuniadhibu..hapana..
Kwanza anajiongezaga bila ya wewe kumuomba?Yewiiii eeeehhh....
Nifundishe kuomba hela hebu auntie
Sasa kama hajiongezi na mie sijui kuomba je!Kwanza anajiongezaga bila ya wewe kumuomba?
Sijui nikawe mama mchungaji tu!! Yakinikuta naandaa kongamano la wanawake tulie pamoja.Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Ndio ujiandae kisaikolojia.Sasa kama hajiongezi na mie sijui kuomba je!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani wanandoa nawaaga!
Leeni ndoa sasa, mie naenda lea uchumba!
Mlale unono, msahau shida zenu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui nikawe mama mchungaji tu!! Yakinikuta naandaa kongamano la wanawake tulie pamoja.
Sema kweeli jamaniiNdio ujiandae kisaikolojia.
Hahhaha kwahiyo hubaki tena singo geliKubaki singo geli
KwendraaaaaaaHahaha hahaha
Hutaki kuniuzia Pete my dear
Hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisikia nimeitisha kongamano ujitokeze haraka maana hali itakuwa si hali.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uniite tulie wote jamaniii
Hapana sio kweli[emoji23]Sema kweeli jamanii