Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Alafu hii huwa naisikia kwa wsnawake wengi waloolewa na wanaume ambao hawakuwalilia shida.

My dear mievnina shida hadi kwenye kope hivyo silazi damu.

😂😂😂😂😂 nakujua😂😂😂..mm nimechoka..nw natambua haki zangu ss ndo anTumia misuli yake kuniadhibu..hapana..
 
Ndio hivyo, we jitie tu wife material ukakopwe ndoani ndio utafurahi. Jitu halijiongezibumetulia nayo tu[emoji134][emoji134][emoji134]

Jiandae kwa makuu yakustajabisha.
Yewiiii eeeehhh....
Nifundishe kuomba hela hebu auntie
 
Back
Top Bottom