Mada maalum kwa wanandoa

Umesahau moja Madame S kugegedana wakati wowote kwa raha zenu siyo kutafuta visingizio visivyo kichwa wala miguu ili kumnyima mwenzio utamu ambao ni halali yake.

 
Hahahahahaha akili imetekwa na JamiiForums lol! Mie mtu kutaka kubadili mfumo wa maisha yangu hasa vitu vinavyonipa raha sana kama clubbing hapo hatutaelewana hata chembe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…