General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Tutakuja pmMimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Kumbe mpare[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Akwendreee uko halafu mpare walivyo wabahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitaomba kuku tu ambao nitamudu kurudisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mzungu mweusi ujueKumbe ni mpare ooowii
Mpare huyo auntieKumbe mpare[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ndio maana.
Aku mi niache, nimeambiwa we bahiliHahaha huyo maneno mengi sana
ishu yetu ya vipele tunafanyaje sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata sms nisingejibu maana watakuwa wamehack acount yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naanzaje ningekuwa nakupenda mm mbona ningeshakuja pm mda sana
Bora ajilipue tu na kinywaji kidogo....pombe sometimes inasaidia asee, vinginevyo akili inaganda[emoji10][emoji10]Ameshasema hana imani na maombi nimemsoma huko juu maombi gani yatafanya kazi hana imani nayo ajilewee tuuu
Yaaani shunie ndio zake nikiongea tu na mdada vizuri anakuja kuongea uwongo mpaka basiAku mi niache, nimeambiwa we bahili
Yangu, namshukuru Mungu..
AyaaaaKumbe mpare[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ndio maana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuoga na vyote hairuhusiwi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
demi jana sijalala..hahaa had saa6 ananitxt..anatia huruma...anaomba msamaha tu...anapiga simu ila sirudi demi...sema watoto wananifanya nilie kweli kweli..😂😂nikitoboa nitakupitisha nilipopita😂😂..shoga kuna ugumu..alafu naambiwa eti ww hyo age huez kaa alone lazima utaolewa tena😑😑😑napata kichefuchefu
Nakaziaaaa....kamdekeza wee mpaka kampanda kichwaniSio wote bwana watu tupo kwenye ndoa mwaka wa 10 huu kugombana kupo lakini sio mwanamke kuwa na sauti kwa mumewe
Mkuu wewe mkeo amekupanda kichwani mkeo ana sauti kuliko wewe na hiki ulikosea toka mwanzo mlivyoanzana
Mwanaume anatakiwa awe na sauti akiongea mara moja harudii baba kaongea kwenye nyumba