Acha Tuu ngoja niwe mpole[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]machale yamekucheza, angeweza kuja hapa hapa na yeye kuanza kutiririka kivyake vyake.
Tuingie tucheze mi na weweRaha ya ngoma....
Mpe nafasi nyingine, halafu muombee basi mwenzio you never know[emoji848][emoji848]ss imefikia hatua namuona kawaida tu..hb unampa heshima ipi mtu km huyo ss..ndo chqnzo kikaanziq hapl[emoji23][emoji23]
Sad kwakweli anapitia magumu mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hichohicho ulichonacho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ninacho kinini hiko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu pole mnooo halafu wanaume wengo wa jf mnapitia magumu sana kwenye ndoa zenu jamani
Lkn pia mane pia si anakunywa pombe?Dah mm nawaonea huruma watoto tu yaani watoto na huyo mume mlevi sijui inakuwaje jamani
Mimi apa mshipa jamani
Ha ha ha shunie kakosa pozz[emoji848][emoji848]Ongea sasa hapo, unaguna nini
Hahhahaha mkuu wengi bwana
Anasema haipandi kabisa
Yaani nimekosa cha kuongea jamani
Tuingie tucheze mi na wewe
Nakupenda eti [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aaah we sikubaliHahhaha huwezi jua ujue naweza ghafla tu kukupenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa nini lakini unakifanyia hivi