Kwanini dadii asikuoe? Au ni mume wa mtu?Wakati niko mschana nilitamani sana ndoa... gauni jeupe.... enzi hizo ukumbi wa kifahari ni Diamond Jubelee.... nikawa nasema atayenichumbia harusi itakuwa hapa.....
Looh nilivoanza kukutana nao sasa..... makorokocho akili ikavurugika nikasema why...!!! Acha nijipende mwenyewe kwanza kisha atayenikuta mbele ya safari anipokee jinsi nilivyo.....
Siku isiyo na jina, Dadii huyu hapa....
Mahaba yakazaliwa ndo hadi leo hadi kesho, mtondo na mtondogoo....
Kwa kusema haya, sitamani ndoa nafurahia kuishi na Dadii maisha yangu yaliyobaki tukipendana kama njiwa.
Kasinde.
Fanya kile kinachokupa furaha maishaniWakati niko mschana nilitamani sana ndoa... gauni jeupe.... enzi hizo ukumbi wa kifahari ni Diamond Jubelee.... nikawa nasema atayenichumbia harusi itakuwa hapa.....
Looh nilivoanza kukutana nao sasa..... makorokocho akili ikavurugika nikasema why...!!! Acha nijipende mwenyewe kwanza kisha atayenikuta mbele ya safari anipokee jinsi nilivyo.....
Siku isiyo na jina, Dadii huyu hapa....
Mahaba yakazaliwa ndo hadi leo hadi kesho, mtondo na mtondogoo....
Kwa kusema haya, sitamani ndoa nafurahia kuishi na Dadii maisha yangu yaliyobaki tukipendana kama njiwa.
Kasinde.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wengine wanaogopa kurudi nyumbani acha wengine wanaopita kusoma kimyakimyaHaaaahaaaa....mpaka mwanaume unaogopa kukomenti eti[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sure... ingekuwa si watoto,dadeq ningeshampiga mbele. Age nayo sasa, 40+ ukimwacha utaoawa wa aina gani?. Akiwa zaidi ya 30 jua nae kaachika, unachukua mzigo aliotua mwenzako!
Akiwa chini ya 30 utagongewa tu maana pumzi ishakata. Ukija kufika 50 yeye ndo yupo kwenye pick anataka kuliwa mzigo kisawasawa. Mie naona tuishi tu maana tushaapa kifo ndio kitatutenganisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120]Ujue furaha na amani vitakuja tu after sometime wakikaa under same roof, hivi walivyo ndo hawana kabisa furaha na amani
Bidada unamsikia mwenyewe anavoeleza hali yake, na anavoeleza hali ya mumewe.
Btw, wataalam wa mambo ya mahusiano wanakwambia, wanandoa wote walioachana, ni 2% ndo walipata furaha baada ya kuachana, the rest ni majanga plus stress all the time
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umewowa mega
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume jamani sijui kwanini hamuonei uchungu hela kwenye masanga...huyo dada ana tabia kama zangu yaani outing nzima naipigia mahesabu matokeo narud nyumbani na mawazo badala ya raha [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee
Mungu awafanyie wepesi tu
Kwanini dadii asikuoe? Au ni mume wa mtu?
Uko kama mimi...yaan kitu kikinizingua lzm nipige ulabu sitaki stress asee dunia ni tamu hii....kisa cha kukosa usingizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shunie,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wengine wanaogopa kurudi nyumbani acha wengine wanaopita kusoma kimyakimya
Kwanini dadii asikuoe? Au ni mume wa mtu?
Una maswali magumu wewe, kwanini usimuulize hata kwani dadii mnakaa mkoa mmoja?
Sent from my iPhone using JamiiForums