Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Wakati niko mschana nilitamani sana ndoa... gauni jeupe.... enzi hizo ukumbi wa kifahari ni Diamond Jubelee.... nikawa nasema atayenichumbia harusi itakuwa hapa.....

Looh nilivoanza kukutana nao sasa..... makorokocho akili ikavurugika nikasema why...!!! Acha nijipende mwenyewe kwanza kisha atayenikuta mbele ya safari anipokee jinsi nilivyo.....

Siku isiyo na jina, Dadii huyu hapa....

Mahaba yakazaliwa ndo hadi leo hadi kesho, mtondo na mtondogoo....

Kwa kusema haya, sitamani ndoa nafurahia kuishi na Dadii maisha yangu yaliyobaki tukipendana kama njiwa.

Kasinde.
Kwanini dadii asikuoe? Au ni mume wa mtu?
 
Wakati niko mschana nilitamani sana ndoa... gauni jeupe.... enzi hizo ukumbi wa kifahari ni Diamond Jubelee.... nikawa nasema atayenichumbia harusi itakuwa hapa.....

Looh nilivoanza kukutana nao sasa..... makorokocho akili ikavurugika nikasema why...!!! Acha nijipende mwenyewe kwanza kisha atayenikuta mbele ya safari anipokee jinsi nilivyo.....

Siku isiyo na jina, Dadii huyu hapa....

Mahaba yakazaliwa ndo hadi leo hadi kesho, mtondo na mtondogoo....

Kwa kusema haya, sitamani ndoa nafurahia kuishi na Dadii maisha yangu yaliyobaki tukipendana kama njiwa.

Kasinde.
Fanya kile kinachokupa furaha maishani

Na usitarajie eti furaha kuipata kwa mtu never ever

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure... ingekuwa si watoto,dadeq ningeshampiga mbele. Age nayo sasa, 40+ ukimwacha utaoawa wa aina gani?. Akiwa zaidi ya 30 jua nae kaachika, unachukua mzigo aliotua mwenzako!

Akiwa chini ya 30 utagongewa tu maana pumzi ishakata. Ukija kufika 50 yeye ndo yupo kwenye pick anataka kuliwa mzigo kisawasawa. Mie naona tuishi tu maana tushaapa kifo ndio kitatutenganisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ujue furaha na amani vitakuja tu after sometime wakikaa under same roof, hivi walivyo ndo hawana kabisa furaha na amani

Bidada unamsikia mwenyewe anavoeleza hali yake, na anavoeleza hali ya mumewe.

Btw, wataalam wa mambo ya mahusiano wanakwambia, wanandoa wote walioachana, ni 2% ndo walipata furaha baada ya kuachana, the rest ni majanga plus stress all the time

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji120]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume jamani sijui kwanini hamuonei uchungu hela kwenye masanga...huyo dada ana tabia kama zangu yaani outing nzima naipigia mahesabu matokeo narud nyumbani na mawazo badala ya raha [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Akili nayo huwa inahitaji kustarehe kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwanini dadii asikuoe? Au ni mume wa mtu?

Dadii sio mume wa mtu, yeye ni dirvocee. Hatujawahi kuongelea ndoa sababu kwanza tunaishi nchi mbalimbali, tunakutana kipindi cha likizo na nikiwa off.

Ndoa ni uhalalisho tuu kuwa huyu mume na mke sasa wakionekana mahali wanasuguana hakuna wa kuuliza. Ila kama hatuhalalishi, haimaanishi hatupendani.

Ndoa ni kitanzi au kifungo, kama hamjafunga ndoa mnakuwa huru, ukinizingua nasepa huruu nae akiona namzingua anasepa ila tukiona tuliachana kwa hasira ila baada ya hasira kuisha mioyo inatakana, tunarejeana kwa Mahaba yote.

Macomplication hayo ndo kero tusizozitaka.

Chamuhimu tunapeana, tunaheshimiana, tunapendana upeo.
Mahaba Mia Mia.

Kasinde.
 
Back
Top Bottom