Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.Mkuu nimeshindwa niongeze nini, umesema ukweli mtupu, japo mimi nina mwaka na nusu kwenye ndoa lakini kama napata nafasi ya kurudisha past basi nisingeoa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Baba usiweke diplomasia sana kwenye ndoa utaishindwa na utaona kama jehanamu ili uweze kuishi na mwanamke lzma uwe vise verse sio kwa kila jambo lakini mengi lazima yawe ivyo akinuna nawe usiongee naye mpotezee atakaaa badaye atajichesha mwenyewe si lazima kila siku uwahi kurudi siku nyingine chelewa akipiga simu unasema2 nitachelewa siku akikupandishia mdomo unaondoka nje kuzuia ugomvi mm nilikuwa na mwenzangu tulikaa miaka 4 nilichojifunza tafuta furaha yako mwenyewe usitake kumfuraisha mtu asiyejali fanya yote likini usiache kujifuraishaDah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
Wewe Jamaa unanielezea mimi na ndoa yangu......Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.
Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji
Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake
Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being
Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.
Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.
Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.
Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan naumia sana kusikia neno kuachana, huyu dada anapitia kipindi kigumu sana,lakini kuachana kusiwe option jamanEm usiongee sana hapa mane, ukipata kamuda uje tu pm tubonge. Kuachana sio rahisi kama tunavyoandika humu.
Ndyo lakini kujipa furaha ni lazima ndoa ni furaha si mateso mmoja wenu anapofanya jambo la kuwaleta pamoja kma wanandoa mfurahi pamoja huwezi sema anapoteza pesa vp kma angetoka nalo usiku bila ww kuwepo na akatumia iyo pesa bila ww kuwepo na gari likapakiwa apo ndani mda mwingine nyie wanawake mnakuwa kero na wachungu kama pili piliAnachokuambia ni kweli kuna matumizi ya lazima na yasiyokuwa yalazima
Hujataka kuwa na furaha...itafute kwa kushirikiana na mwenza wakoNipo ndani ya ndoa kwa miaka 16 sasa. 80% ya maisha ndani ya ndoa sijawahi kuwa na furaha.
Nilichogundua. Kuoa ni kuamua kumiliki mtu. Tena mwenye akili zake. Ni shida kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana mkuuKila la kheri wenye ndoa.
Mahisiano niliyopitia nyuma yalinifanya nikafunga mlango wa ndoa, ila mahusiano ya sasa na Dadii ni paradiso na tukigombana tunaambiana ukweli waziwazi usoni bila kuoneana aibu.
Kesho yake tunakumbatiana kama kawaida, Mahaba yetu matamu sitamani ndoa tena....
Tatizo huyu kishabeba mimba tayari, nasubiri ajifungue nimpige chiniDah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]...mnyakyusa nini wifiMimi kabla ya kuoa nilikuwa mtu wa out sana, so mwenzangu hakuwa kivile sana kwenye ishu za out, nikaona huyu atanifaa mana atanidhibiti kama si kunipunguzia ishu za out, we balaa lake baada ya yeye kuchoma ndani, yani siyo udhibiti ule wa speed governor ni hakuna tena ishu za out (mwaka sasa labda nidanganye safari ya kikazi), eti anasema ukisikia hamu ya kwenda out ingia jf mana hiyo ndiyo imekuteka akili.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]...mnyakyusa nini wifi
Sent using Jamii Forums mobile app
Poole shost...ingia kwenye maombi, japo mi yaligoma!Mimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Tatizo huyu kishabeba mimba tayari, nasubiri ajifungue nimpige chini
Umenikumbusha mange anavyotudolishia mzungu wake mpya[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]Yaani najizuia kusema mengi ila najikuta tuu nshaweka uzi.....
Mahaba ni kitu kingine kabisa....
Najua sad moments zipo ila, utamu, furaha, upendo, amani, raha yaani it’s more than being crazy drunk in love....
Kasie wa Dadii.
Haaaahaaaa[emoji1787][emoji23][emoji23]kumbe ndo sababu? Wanaume hapana aseeSasa mtu amezeeka na mtambi huo utafikiri meneja wa kiwanda cha utapiamlo au mataptap, utoke naye out kwa misingi ipi, watu si watakushangaa? Wanawake wanajidhalilisha wenyewe, utajiachiaje kwa kujiharibu shepu kisa umezaa?
Baba usiweke diplomasia sana kwenye ndoa utaishindwa na utaona kama jehanamu ili uweze kuishi na mwanamke lzma uwe vise verse sio kwa kila jambo lakini mengi lazima yawe ivyo akinuna nawe usiongee naye mpotezee atakaaa badaye atajichesha mwenyewe si lazima kila siku uwahi kurudi siku nyingine chelewa akipiga simu unasema2 nitachelewa siku akikupandishia mdomo unaondoka nje kuzuia ugomvi mm nilikuwa na mwenzangu tulikaa miaka 4 nilichojifunza tafuta furaha yako mwenyewe usitake kumfuraisha mtu asiyejali fanya yote likini usiache kujifuraisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Miezi miwili?[emoji849][emoji849]we kibokoAisee...! Mi nna miezi miwili tu ya ndoa nafikiria kutoa Talaka nibaki maisha yangu ya usela maana kabla sijaoa nilikua na furaha lakini sa hv furaha ni asilimia tano tu
Chaaaaaaa!Ulishawahi kuona mwanamme anafurahia ndoa siku ya kufunga? Bibi harusi anakuwa mtu wa furaha na bwana harusi anawaza ataanzaje kumfunga kamba bi harusi ili aendeleze kubembeleza nyumba ndogo na kufurahisha nafsi yake. Ndoa ni kwa ajili ya wanawake tu, kwetu wanaume ni zigo la hasara.
Mi mbavu hapa sina[emoji86][emoji86]inawezekana unachoongea ni kweli,ndoa ni zigo kwa wanaume.naona nyie mnachoka haraka kule wanawake..ha ha ha umenichekesha