Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Mkuu nimeshindwa niongeze nini, umesema ukweli mtupu, japo mimi nina mwaka na nusu kwenye ndoa lakini kama napata nafasi ya kurudisha past basi nisingeoa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aisee au nighairishe haka kampango? Maana sijaona hata mmoja anaesemaa kitu positive kidogo nikapata moyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
Baba usiweke diplomasia sana kwenye ndoa utaishindwa na utaona kama jehanamu ili uweze kuishi na mwanamke lzma uwe vise verse sio kwa kila jambo lakini mengi lazima yawe ivyo akinuna nawe usiongee naye mpotezee atakaaa badaye atajichesha mwenyewe si lazima kila siku uwahi kurudi siku nyingine chelewa akipiga simu unasema2 nitachelewa siku akikupandishia mdomo unaondoka nje kuzuia ugomvi mm nilikuwa na mwenzangu tulikaa miaka 4 nilichojifunza tafuta furaha yako mwenyewe usitake kumfuraisha mtu asiyejali fanya yote likini usiache kujifuraisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana.
Kuna wakati mkeo anakuwa rafiki yako.
Wakati mwingine anakuwa adui yako.
Wakati mwingine anakuwa boss wako vice versa is also true.

Wakati mwingine mume unakuwa polisi na mke mfungwa vice versa is also true
Wakati mwingine chumbani kunageuka ulingo wa masumbwi na watoto washangiliaji

Wakati mwingine mnakuwa majirani kila mtu hajui kinachoendelea kwa jirani yake

Wakati mwingine mnakuwa mtu mmoja indivisible being

Wakati mwingine mmoja anakuwa Mtoto na mwingine ni mzazi.

Na haya ndiyo huwa maisha yetu ya kila siku ndoani.

Asikwambie mtu hakuna Kitu kinachoongeza heshima na hadhi ya mtu kama ndoa.

Onyo. Usiulizie matumizi ya hela za mkeo jifanye huoni yanayoendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Jamaa unanielezea mimi na ndoa yangu......
 
Anachokuambia ni kweli kuna matumizi ya lazima na yasiyokuwa yalazima
Ndyo lakini kujipa furaha ni lazima ndoa ni furaha si mateso mmoja wenu anapofanya jambo la kuwaleta pamoja kma wanandoa mfurahi pamoja huwezi sema anapoteza pesa vp kma angetoka nalo usiku bila ww kuwepo na akatumia iyo pesa bila ww kuwepo na gari likapakiwa apo ndani mda mwingine nyie wanawake mnakuwa kero na wachungu kama pili pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila la kheri wenye ndoa.

Mahisiano niliyopitia nyuma yalinifanya nikafunga mlango wa ndoa, ila mahusiano ya sasa na Dadii ni paradiso na tukigombana tunaambiana ukweli waziwazi usoni bila kuoneana aibu.

Kesho yake tunakumbatiana kama kawaida, Mahaba yetu matamu sitamani ndoa tena....
Hongera sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee kumbe tuko wengi sana, tatizo mimi dini hairuhusu, ila kama ningekuwa wa upande ule mapema tu ningerudia maisha yangu ya usela, yani burudani na furaha mda wote, no commitments, no stress, no ishu za leo tukasalimie wakwe, no ishu za baba na mama wanasema mbona kimya sana, no ishu za hiyo nguo uliyovaa haijakupendeza kaibadilishe, ukitoka out hauwazi kumkwaza mtu wala kuangalia angalia saa,
Tatizo huyu kishabeba mimba tayari, nasubiri ajifungue nimpige chini
 
Mimi kabla ya kuoa nilikuwa mtu wa out sana, so mwenzangu hakuwa kivile sana kwenye ishu za out, nikaona huyu atanifaa mana atanidhibiti kama si kunipunguzia ishu za out, we balaa lake baada ya yeye kuchoma ndani, yani siyo udhibiti ule wa speed governor ni hakuna tena ishu za out (mwaka sasa labda nidanganye safari ya kikazi), eti anasema ukisikia hamu ya kwenda out ingia jf mana hiyo ndiyo imekuteka akili.


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]...mnyakyusa nini wifi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani najizuia kusema mengi ila najikuta tuu nshaweka uzi.....

Mahaba ni kitu kingine kabisa....

Najua sad moments zipo ila, utamu, furaha, upendo, amani, raha yaani it’s more than being crazy drunk in love....

Kasie wa Dadii.
Umenikumbusha mange anavyotudolishia mzungu wake mpya[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu amezeeka na mtambi huo utafikiri meneja wa kiwanda cha utapiamlo au mataptap, utoke naye out kwa misingi ipi, watu si watakushangaa? Wanawake wanajidhalilisha wenyewe, utajiachiaje kwa kujiharibu shepu kisa umezaa?
Haaaahaaaa[emoji1787][emoji23][emoji23]kumbe ndo sababu? Wanaume hapana asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba usiweke diplomasia sana kwenye ndoa utaishindwa na utaona kama jehanamu ili uweze kuishi na mwanamke lzma uwe vise verse sio kwa kila jambo lakini mengi lazima yawe ivyo akinuna nawe usiongee naye mpotezee atakaaa badaye atajichesha mwenyewe si lazima kila siku uwahi kurudi siku nyingine chelewa akipiga simu unasema2 nitachelewa siku akikupandishia mdomo unaondoka nje kuzuia ugomvi mm nilikuwa na mwenzangu tulikaa miaka 4 nilichojifunza tafuta furaha yako mwenyewe usitake kumfuraisha mtu asiyejali fanya yote likini usiache kujifuraisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Huu ushauri murua sana mkuu, thanks


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom