Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Kuna huyu alienda kumzika mpz wake alijiua kisa wivu,hapa akimuaga marehemu
20230131_223517.jpg
 
NANI ANAFAIDIKA NA NDOA? Ana umri wa miaka 68. Mstaafu aliyestaafu. Alifanya kazi maisha yake yote kulea watoto wake. Alijinyima raha ya maisha kulipa karo ghali ya shule na gharama za maisha kwa watoto wake nje ya nchi. Sasa wako vizuri huko Uropa na Amerika. Mkewe, 60, amehama ili kuishi na watoto wake. Yuko peke yake nchini Kenya. Watoto wake hawakumuita kwa shida. Sasa inabidi aanze maisha tena kama bachelor. Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine ya uzee. Je, angeishi peke yake hadi lini? Huu ndio ukweli kwa wanaume wengi wa tabaka la wafanyakazi wenye mke mmoja. Uzee wao kwa kawaida ni wapweke na katika hali nyingi, huzuni. Jaribu kadri unavyoweza, wanawake wanapenda watoto wao zaidi kuliko waume zao, haijalishi mwanaume ni mzuri kiasi gani. Kadiri anavyozidi kuwa mkubwa, ndivyo matumizi yanavyopungua kwake. Niambie basi, wanaume wanafaidika nini na ndoa? Wanajitolea sana lakini wanapata kutambuliwa kidogo kwa kazi ngumu. Mwanamke huvuna faida zote kwani watoto mara nyingi huwa karibu na kumpenda zaidi anapozeeka.



IMG-20230708-WA0031.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mume wangu alipokuwa anaumwa nilikuwa napitia wakati mgumu sana kwasababu nilikosa mtetezi, aliyetakiwa kunitetea ndo huyo alikuwa amelala. Hali ya kuona mume wangu haongei, hawezi kufanya chochote nayo ilikuwa ni changamoto kubwa sana ambayo ilikuwa inanifanya kuna muda nilikuwa nakata tamaa na kujiuliza huyu atarudi kweli? lakini nashukuru Mungu amerudi"

"Ugonjwa wake ulikuwa na taarifa nyingi sana lakini taarifa mbaya zaidi zilikuwa ni zile za kumzushia amekufa wengine walisema ana ukimwi, hizo kwakweli zimeniumiza hata mimi kwasababu kwenye maisha ya kawaida watu wakisikia hivyo lazima waninyoshee kidole hata mimi lakini ndo maisha yako hivyo. Watu walikuwa wanatoa taarifa za uongo kwasababu walikuwa wanataka hela kwa Mange"

"Kwahiyo mtu anaweza akakurupuka tu akachukua kitu chochote akapeleka taarifa ya uongo au inaweza kuwa na ukweli kidogo na nyingine isiwe na ukweli kabisa, hiyo ilitupa ugumu mpaka ikapelekea tukawa tunazuia watu kuingia hospitali"

"Mimi kuvumilia huu mtihani ulionikuta naweza nikasema siyo mimi ni Mungu, lakini pia watu ambao wamenizunguka wakiwemo ndugu wa mume wangu, mama yangu mzazi, baadhi ya marafiki zangu ambao walikuwa wakinipa moyo. Kuna wakati nilikuwa nashindwa lakini wao walikuwa wananiambia no! usikate tamaa. Lakini kingine ni kwamba mimi sikubahatisha kuishi na Professor Jay, niliamua kuishi na madhaifu yake na yeye aliamua kuishi na udhaifu wangu"

"Naweza kuwashauri watu ambao wanataka kuingia kwenye ndoa wajue kwamba ndoa sio rahisi, ni kama kazi, ni kama ajira kwasababu ina vitu vingi sana, inahitaji uwe na akili nyingi sana jinsi ya kuishi na mwenzio. Yeye akujue na wewe umjue vizuri kwamba hapa amekosea, hapa nimekosea tunalitatua vipi hili tatizo, kwahiyo inatakiwa mtu awe na utayari wa kwa kwamba sasa naenda kuishi na mwenza wangu"- Mke wa Professor Jay.
FB_IMG_1699024419138.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝐒𝐄𝐗 𝐈𝐒 𝐑𝐈𝐓𝐔𝐀𝐋[emoji15]🪄[emoji97]

Every time you have sex… you are practicing Sacred Magick.

The amount of energy that is generated through sex is incredible![emoji91]

[emoji92] It can be used for healing, manifesting, even awakening dormant spiritual gifts!

But if you are exchanging this sacred energy with a toxic low life narcissist…

You have attached his negative energy to your beautiful energy.

This will create lots of blockages and problems in your life.[emoji29]

This is why we say it is very important to listen to your body and intuition

It will tell you if having sex with this guy will empower you both

[emoji31]Or just DRAIN YOU.

Always enter into sex seeing it as both physical/pleasure and spiritual/ritual

[emoji294]️THIS WILL ELEVATE YOUR SEX![emoji294]️

Don’t waste your precious powerful energy on low vibe bums baby [emoji8]
FB_IMG_1699023420989.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rashidi Hussein Mkayala Mkazi wa Mtaa wa Gemu Kata ya Mwanga Kusini Manispaa ya Kigoma Ujiji amejinyonga kwa kutumia kilemba chake cha kichwani muda mfupi baada ya kumuua Mke wake, Bernadeta Cosmas(33) kwa kumnyonga chanzo kikitajwa kuwa ni mgogoro ndani ya ndoa yao.

Mwenyekiti wa Mtaa huo, Buswalu Mulumbu Mkama ameiambia #AyoTV kuwa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro uliotokea siku za nyuma ambapo Mke wa marehemu alifika kwa Mwenyekiti na kutoa taarifa ya vitendo vya Mume wake kuchukua vitu vya ndani na kuuza ambapo mara kadhaa kesi zao zilikuwa zikipelekwa kwake kwa ajili ya usuluhishi.

Mwenyekiti huyo amesema siku moja kabla tukio Mwanamke huyo alilala nyumbani kwake baada ya kukimbia nyumbani kwa Mume wake kufuatia kipigo alichopata kutoka kwa Mume wake ambapo katika tukio hilo alidai kunusurika kuuawa baada ya kukabwa shingo na waya wa umeme na alipopata nafasi ya kuchomoka alikimbia na kukimbilia kwa Mwenyekiti wa Mtaa.

Uchunguzi wa awali wa tukio hilo umeonesha kuwa Rashidi Hussein alimnyonga Mke wake kwa mikono hadi kumuua na baadaye kutoka nje ambapo alifunga mlango kwa nje na kurudi ndani kupitia dirishani ambapo alifunga milango yote na madirisha na yeye kujinyonga kwa kitambaa cha kichwani. #MillardAyoUPDATES
FB_IMG_1708645606519.jpg
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovina Mwakiyee (33) mkazi wa kijiji cha Mang'ula A wilayani Kilombero kwa tuhuma za kula njama na kumuua mume wake wa ndoa ambaye ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Signal, Christian Tangaraza mwenye umri wa miaka 39.

Tukio hilo lilitokea usiku wa June Mosi mwaka huu ambapo marehemu aliuawa kwa kupigwa na kitu butu wakati akiwa amelala ndani ya nyumba yake

Azam TV wameripoti

Halafu walishona hadi sare 😭😭😭
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovina Mwakiyee (33) mkazi wa kijiji cha Mang'ula A wilayani Kilombero kwa tuhuma za kula njama na kumuua mume wake wa ndoa ambaye ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Signal, Christian Tangaraza mwenye umri wa miaka 39.

Tukio hilo lilitokea usiku wa June Mosi mwaka huu ambapo marehemu aliuawa kwa kupigwa na kitu butu wakati akiwa amelala ndani ya nyumba yake

Azam TV wameripoti

Halafu walishona hadi sare 😭😭😭
 
1. Alikua anataka kunitawala yaani yeye awe juu mimi niwe chini yake, yaani mimi niwe kama mwanamke na yeye awe mwanaume

2. Tendo la ndoa mpaka atake yeye au ajisikie

3. Jeuri na kiburi vyote vyake ana majibu ya hovyo yaani anaweza kunijibu anavyotaka kama anamjibu mwanae

4. Alikua anatabia ya kunikorofisha makusudi nikichukia ananisema vibaya kwa majirani na ndugu zake mwisho mimi naonekana mbaya ( HII NDIYO SABABU KUU ILIYOPELEKEA NIMUACHE )
Yaani naweza kusema yeye alikua akifurahi kuniona mimi nikiwa matatizoni maana kama kuna mtu ananidai basi yeye atasimama kidete utadhani yeye ndo anayenidai

5. Mbishi...ukimwelekeza kitu kwa nia ya kumwelewesha ye hataki anajiona mjuaji kwa kila kitu

Yaani yeye akishasema kitu ndo kasema hivyo anachotaka ni utekelezaji tu(FINAL SAY )

6. Hataki kusemwa au kukosolewa pindi anapokosea ( kuna kipindi alikua akionea watoto wa dada yangu kumbe wale watoto mmoja ambaye ni mkubwa alikua akiwaambia wazazi wake Baba na Mama ila wao walikua hawamwambii kwa kuhofia ataonekana hapendwi ila siku mtoto akaja kushtaki kwangu nikamchana kwamba anachokifanya sio kitu kizuri....AKANUNA HUYOOO...akaona haitoshi akajitenga yeye na mtoto wetu wa kwanza akawa anamtenga asicheze na wenzie, kuona hivi nikamwita tena kisha nikamwambia tena mbele ya Dada, alichosema dada ni kwamba hizo taarifa ye aliambiwa muda tu ila alishindwa kuniambia mimi kwa kuhofia nitaona anamchukia wifi yake )

7. Mbinafsi...Changu chake....chake ni chake hata kama mimi ndo nilipambana au nilifanikisha mpaka akakipata ila ni mwiko kunishirikisha...( Kuna kipindi alikua akifanya biashara flani sijawahi kushirikishwa kuhusu mapato wala nini yaani akimaliza biashara hela inafichwa hukooo...ila mimi nikirudi kazini nikitoka tu akawa anasachi mifuko ya suruali zangu ajue kuna pesa kiasi gani akikuta pesa, kesho yake ataanza kuniambia anadaiwa nikimwambia sina hela atanijibu zipo kiasi fulani kwenye suruali yangu yaani hata kama tayari ipo kwenye bajeti ya kodi ya nyumba ye atataka itumike anavyotaka yeye mwisho wa siku naanza kuhangaika peke yangu ye ananiangalia tu )

8. Anaigiza....yaani yeye anaishi ili kuwafurahisha majirani au watu, yupo tayari kwenda kumsaidia kazi jirani huku zilizopo ndani hakuzimaliza kisha baadae anaanza kulalamika kuchoka nikimwambia ananijibu mimi MSHAMBA WA MAISHA

9. Ameharibiwa na vipindi vya kwenye runinga hasa hivi vya kina Mama Terry bila kusahau na Bongo Movie

10. Anapenda kujionyesha....yaani anataka kuonekana yeye yupo juu kwa lugha nyepesi hataki kuishi katika uhalisia anataka kuonekana anaishi maisha fulani hivi ya hadhi ya juu

N.B;

KIPINDI CHA UCHUMBA TABIA HIZI SIKUWAHI KUZIONA MAANA NILIANZA NAE MAHUSIANO 2014 HADI 2018 MWISHONI NDO TULIFUNGA NDOA
Dah aisee, kaaazi kweli kweli
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata Jovina Mwakiyee (33) mkazi wa kijiji cha Mang'ula A wilayani Kilombero kwa tuhuma za kula njama na kumuua mume wake wa ndoa ambaye ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Signal, Christian Tangaraza mwenye umri wa miaka 39.

Tukio hilo lilitokea usiku wa June Mosi mwaka huu ambapo marehemu aliuawa kwa kupigwa na kitu butu wakati akiwa amelala ndani ya nyumba yake

Azam TV wameripoti

Halafu walishona hadi sare 😭😭😭
😂😂😂😂
Screenshot_20240610-000458.jpg
 
Back
Top Bottom